Harmonize amemkubali mtoto wake

Harmonize amemkubali mtoto wake

Katika Maisha Ukisema ukatae Mtoto Ni kama Vile Laana utaona Mambo yako hayafanikiwi kumbe wewe ndo unamakosaa!!
Naomba Msamaha sana kwa Mchumba wangu #SARAH_TZ Kiukwelii sikujua why nimekukosea kiasi hiki lakini Naamini umenielewa na utanisamehe maana siwezi kataa damu yangu na kwa jitihada zangu zote zimetumika mpaka nikampata naomba pia hata mama wa mtoto anaisamehe sana maana tulizaa naye ndio lakini naona mpaka Aibu sana sana ni mali yangu

View attachment 1137486
Mbona mimi nimekataa mpaka sasa wawili na niliwakataa baada ya kuzaliwa ila mimba nilihudumia natumiwa hadi picha navyofanana nao kila mmoja ana mama ake na mambo yangu yanaenda swaaafi kabisa.

Nampango baada ya miaka saba mbele nianze kuwakusanya wote maana nina timu niliowakataa wakafie mbele
 
Back
Top Bottom