Umeona enh! Yaani ukimuona tu, unajua huyu Mmakonde! Na sio tu Mmakonde, bali Mmakonde wa Tandahimba contrary to Wamakonde wa Mikindani!Katoto kana muonekano wa kimakonde kabisa
Hongera zake Raj khan
Punguza jazba mkuuUtafirwwwaaaaaaaa na hio unayoiita awam ya tank jingalie punga wewe.
Anashika mimba kahaba mzoefu ije kuwa Sarah! Sema wanachoropoa kama akina Penny! Hivi hushangai ile mimba ambayo Harmonize alikuwa anafurahia kupata mtoto wa kizungu imeishia wapi!!Ampige mimba na huyo Sarah.
Tatizo mademu aina ya Sarah kubeba mimba inakuwa inshu sana,washapigwa pigwa sana ndiyo tatizo.
Kahaba hana Mtoto azae sasa,huenda Kiu ya Harmo ni kupata mtoto ,akicheki demu haeleweki ,kama alichoropoa kosa ni lake.Anashika mimba kahaba mzoefu ije kuwa Sarah! Sema wanachoropoa kama akina Penny! Hivi hushangai ile mimba ambayo Harmonize alikuwa anafurahia kupata mtoto wa kizungu imeishia wapi!!
"[emoji444] Penzi limemefanya harmonize amfukuzishe mwarabuuuuuuu[emoji445]" in diamond's voiceHarmonize ana ushahidi wa kuchepuka, Sarah hana
Ha ha ha kuna kaukweli hapaMkuu kwani wachezaji wa Senegal hawafai kufananishwa na watu wengine? huoni hata hiyo ni dharau pia?
Huyu jamaa labda anapenda sura za wachezaji wa misri nina mashaka atakuwa batybwoy.Mbona wachezaji wa senegal wapo fresh tu man,
Wanasura za kawaida kabisa.wala hamna cha ajabu,
Pongezi ziende kwa serikali ya awamu ya 5, hapa kazi tu.
Mkuu watu hawajielewi....Iheshimu kazi ya Mungu, dharau haitakusaidia ndugu!
Sijuwe yeye na babaake na mamaake wameumba viumbe wangapi wemaIheshimu kazi ya Mungu, dharau haitakusaidia ndugu!
Tuwekeye sura za babaaako na mamaako kama sio monkey ..chipanzeWatoto wa mtwara kama sura za wachezaj wa senegal.
Hajielewi uyo msengeMtoto innocent kakukosea nini?