Harmonize amemkubali mtoto wake

Harmonize amemkubali mtoto wake

Katoto kana muonekano wa kimakonde kabisa

Hongera zake Raj khan
Umeona enh! Yaani ukimuona tu, unajua huyu Mmakonde! Na sio tu Mmakonde, bali Mmakonde wa Tandahimba contrary to Wamakonde wa Mikindani!
 
Anashika mimba kahaba mzoefu ije kuwa Sarah! Sema wanachoropoa kama akina Penny! Hivi hushangai ile mimba ambayo Harmonize alikuwa anafurahia kupata mtoto wa kizungu imeishia wapi!!
Kahaba hana Mtoto azae sasa,huenda Kiu ya Harmo ni kupata mtoto ,akicheki demu haeleweki ,kama alichoropoa kosa ni lake.
 
Shikamoo mitandao. Ngoja kesho nikamuone huyo mtoto maana nilimuuliza shoga huyu ndo mtoto wetu mtandaoni akasema sie nashangaa hizi picha zinapotokea.
 
Inaonyesha dogo ni mzee wa dry aka dry maker, asipokuwa makini atakufa mapema sana kwa magonjwa ya zinaa.
 
Inaonyesha dogo ni mzee wa dry aka dry maker, asipokuwa makini atakufa mapema sana kwa magonjwa ya zinaa.
 
Inaonyesha dogo ni mzee wa dry aka dry maker, asipokuwa makini atakufa mapema sana kwa magonjwa ya zinaa.
Gonjwa lisilotibika ni HIV nayo ina mbaazi zake.
 
Back
Top Bottom