Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
poa poaAsante kwa kutujuza
kivipi?Hizo sifa mbona zinauzidi wimbo wenyewe??
kweli kupenda ni upofuAma kweli WCB ni kisima cha burudani ,huwa hawaaribu kazi hata siku moja ,kila ngoma wanayotoa ni fireeeeeeeee.
Hii ngoma mpya ya Konde boy ft Korede Bello ijulikanayo kama Shulala ni moto wa kuotea mbali.
Haichoshi kuisikiliza pia inachezeka.
Na nimefurahishwa sana na uwezo wa hali ya juu alio uonesha Harmonize yaani amefunika ile mbayaaaaaaaaaa.
Wale wazee wa kariakoo watasubiri sana meli airport sisi huku usafini (wcb) tunazidi kuchanja mbuga.
Sawa team kibamiaHao wcb watawaoa siku moja mmezidi shobo
Hahaaaaaaaaa uchidachiTimu Wcb kwenye ubira wake
Nashindwa kuelewa mkuu hivi kufanya kolabo na msanii yeyote kumbe kuna kushindana???Ama kweli WCB ni kisima cha burudani ,huwa hawaaribu kazi hata siku moja ,kila ngoma wanayotoa ni fireeeeeeeee.
Hii ngoma mpya ya Konde boy ft Korede Bello ijulikanayo kama Shulala ni moto wa kuotea mbali.
Haichoshi kuisikiliza pia inachezeka.
Na nimefurahishwa sana na uwezo wa hali ya juu alio uonesha Harmonize yaani amefunika ile mbayaaaaaaaaaa.
Wale wazee wa kariakoo watasubiri sana meli airport sisi huku usafini (wcb) tunazidi kuchanja mbuga.
jipe muda utailewa tu...ngoma za wcb mara nyingi huwa kama maradhi ya kensa vile yaani huenea taratiiibu!Nyimbo sijaielewa.. hii niwe honest
anhaa kumbeeeee ,basi freshiiiiiHao wcb watawaoa siku moja mmezidi shobo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sawa team kibamia
ubira=ubora.. huko shuleni mnaendaga kusomea upungangaTimu Wcb kwenye ubira wake