Harmonize amfunikaa vibaya mnooooo Korede Bello kwenye ngoma yao ya Shulala

Harmonize amfunikaa vibaya mnooooo Korede Bello kwenye ngoma yao ya Shulala

Vipi bundi aliyetua WCB 'Lavalava' anaendeleaje?
 
Wimbo mkali kweli ila hizo sifa zako za kitoto sana, we sema hujaelewa alichoimba korede bello ndomana unasema kafunikwa. Enjoy na lugha yetu mzee
 
Ama kweli WCB ni kisima cha burudani ,huwa hawaaribu kazi hata siku moja kila ngoma wanayotoa ni fireeeeeeeee.

Hii ngoma mpya ya Konde boy ft Korede Bello ijulikanayo kama Shulala ni moto wa kuotea mbali. Haichoshi kuisikiliza pia inachezeka.

Na nimefurahishwa sana na uwezo wa hali ya juu alio uonesha Harmonize yaani amefunika ile mbayaaaaaaaaaa. Wale wazee wa kariakoo watasubiri sana meli airport sisi huku usafini (wcb) tunazidi kuchanja mbuga.
bora ungeandika tu ni fayaaaaaa kuliko hivo ulivoandika
 
Mi hua siwaelewi watu wanaoshabikia nyimbo za wcb....nyimbo zote zinafanana melody yani ikianza tu na matarumbeta yao tayari ishachosha kusikiliza, kila kitu vilevile tofauti maneno tu. nimeusikiliza huo wimbo nao unaangukia humo humo...hakuna ubunifu hapo studio kwao.
 
Mi hua siwaelewi watu wanaoshabikia nyimbo za wcb....nyimbo zote zinafanana melody yani ikianza tu na matarumbeta yao tayari ishachosha kusikiliza, kila kitu vilevile tofauti maneno tu. nimeusikiliza huo wimbo nao unaangukia humo humo...hakuna ubunifu hapo studio kwao.
Melody, beat na vionjo vya huo wimbo ni hybrid ya nyimbo 2 za Harmonize 'BADO' na 'HAPPY BIRTHDAY'
 
Back
Top Bottom