Nikikupa mwekundu leo utaniona wa maana sana lakini kesho utanikumbuka tena nikupe ila nikikupa nyenzo ya kukupatia mwekundu kila siku hiyo ni zaidi ya kutoaFafanua mkuu mshana tusi kivipi wakati baraka zinaenda kwenye mkono unaotoa kuliko unaopokea.
Teh sure 😅huna kitu mkuu
Sina ya kumpatia lakini hilo Gari ni Baya.ha ha ha mkuu hebu mpatie nzuri basi....
ha ha ha ha haSina ya kumpatia lakini hilo Gari ni Baya.
Kampe nzuri wewe...Gari mbaya
Povu unalo mwenyewgari imeenda age,,
povu ruksa,,,,,,
Hata hyo ni nyenzo mkuu...anaweza lifanya hata lakubebea abiria,maeneo mengi ya ndani ndani dar..hizo ndio daladala na vijana wanaleta hesabu nzuri tuNikikupa mwekundu leo utaniona wa maana sana lakini kesho utanikumbuka tena nikupe ila nikikupa nyenzo ya kukupatia mwekundu kila siku hiyo ni zaidi ya kutoa
Jibu zuri kabisa.Hata hyo ni nyenzo mkuu...anaweza lifanya hata lakubebea abiria,maeneo mengi ya ndani ndani dar..hizo ndio daladala na vijana wanaleta hesabu nzuri tu
Akiongea mwanasiasa wa upinzani unakuta mic mbili tuThere was no need of media !
The true meaning of giving
Kwa Porte hapana.... Yani ni afadhali ya bajaj.. Porte sio gari ya kazi.. Ni gari ya shemeji kuendea sokoni na kurudi basiHata hyo ni nyenzo mkuu...anaweza lifanya hata lakubebea abiria,maeneo mengi ya ndani ndani dar..hizo ndio daladala na vijana wanaleta hesabu nzuri tu
There was no need of media !
The true meaning of giving
Hapo sawaHakuitisha media kwa ajili ya kumpa gari tu
Lengo la media ilikua ni kupromote kazi zake mpya walizotoa wote jana.
Jiwe so ndo wale waleMbona hata jiwe akigawa fulusi njiani,ITV wanaitwa breaking news kutuonyesha !
Nadhani kafuata nyayo za msanii mkuu wa Jamhuri, Jiwe linalokataliwa na waashi ambalo litakuwa jiwe kuu kwenye uongozi wa malaika.There was no need of media !
The true meaning of giving
Zawadi ya hiki kibebiwoka ndo kimejaza media namna hii? Au walijua watamwagiwa mahela kama yule mdada aliyemchefua mkongwe Pascal Mayalla ?