crankshaft
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,427
- 3,438
We Ni Wale Watu Wasiopenda Maendeleo Ya Watu , Kwa Upande Wangu Harmonize Naona Kafanya Poa , Muziki Unaitaji Vitu Vingi Na Usifikiri Kipaji TuuNajiuliza hivi hawa wasanii wangekuwa wamechukuliwa na WCB,humu pange chafuka threads zingekuwa 100 nakutabiri "wanaenda kudhulumiwa".
Naona ndugu yangu Robidinyo sijui hana habari au ameamua kukaa kimya.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ngojea tuwape muda,siku zote muda huwa unaongea.Nampa pole Kiba kwa kufanya kazi ya Kanisa mpaka kuiconvert label na sasa mwenyewe anaiita College.
kuwekeza kwa wana mziki wa bongo kazi sito shangaa hao watoto waki mgeuka Konde.
ila alipotangazwa Zuchu WCB,mkawa mnasema wamebugi kumsaini muimba taarabu hajui mziki....We Ni Wale Watu Wasiopenda Maendeleo Ya Watu , Kwa Upande Wangu Harmonize Naona Kafanya Poa , Muziki Unaitaji Vitu Vingi Na Usifikiri Kipaji Tuu
Katika Formula Ya Maisha Yangu Uwa Nafurahi Kuona Mtu Anapiga Hatua Katika Suala Ya Maendeleoila alipotangazwa Zuchu WCB,mkawa mnasema wamebugi kumsaini muimba taarabu hajui mziki....
Shikamoo harmonize...Kijana anazidi kuchanja mbuga kwa spidi ya light, anasajili kila siku kama Chelsea.
harmonize leo kupitia mkutano na waandishi wa habari amemtangaza msanii mpya ndani ya label yake ya kondegang country boy ambapo anatarajiwa kuachia nyimbo 7 siku ya leo.
Sambamba na hilo harmonize amewakabidhi gari ibrah na msanii mpya country boy.
Mpaka sasa label hiyo ina wasanii sita wakiwa wamebaki wanne tu kukamilisha timu ya mpira wa miguu ikiwa na umri chini ya mwaka mmoja (kama ni mtoto mchanga bado ananyonya)
We wish you all the best kijana wetu katika adhma yako ya kusaidia vijana wenzako. Tunaamini haujakurupuka na unajua kile unacho fanya.
[emoji1][emoji1][emoji1]dahBado Kiba, nae anatakiwa asajiriwe Konde Gang