kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,872
- 16,319
Ukiwa na maana kwamba?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa na maana kwamba?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti countryboy kasajiliwa na konde.. maisha haya dahUkiwa na maana kwamba?
counrty boy ndo atakua kama rich mavoko kwa wcb....tusiwaombee mabaya lakiniKumasain mlevi Kama country boy
N sawa na kucheza 3 mzuka
Conde anazingua, county ndio kabisaEti countryboy kasajiliwa na konde.. maisha haya dah
Kwakweli hii inaonekana bila hata kupgwacounrty boy ndo atakua kama rich mavoko kwa wcb....tusiwaombee mabaya lakini
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nmebak tu kuchekaEti countryboy kasajiliwa na konde.. maisha haya dah
Kama una mtoto wako njoo nae usije ukazubaa badae.........,Conde anazingua, county ndio kabisa
Anaeongoza label kafeli kuendesha bendi ya watu kumi,biashara zake zimeenda komboHii label mwisho wa siku itavunjika, maana naona inapoelekea kila mmoja atajifanya Beberu
All the Konde Gang
Unawekeza unconditionally au kunakuwa na written Contract? Kama ni unconditionally, basi hutakiwi kuja kutoa povu lolote siku wakisema basi. Ila kama kuna mkataba, basi terms zitaongea. Harmonise, anaelewa katoka WCB, lakini he paid some good money. So, kuwachukua hawa vijana naamini atakuwa amejifunza how to ran business from WCB.Najiuliza hivi hawa wasanii wangekuwa wamechukuliwa na WCB,humu pange chafuka threads zingekuwa 100 nakutabiri "wanaenda kudhulumiwa".
Naona ndugu yangu Robidinyo sijui hana habari au ameamua kukaa kimya.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ngojea tuwape muda,siku zote muda huwa unaongea.Nampa pole Kiba kwa kufanya kazi ya Kanisa mpaka kuiconvert label na sasa mwenyewe anaiita College.
kuwekeza kwa wanamziki wa bongo kazi sito shangaa hao watoto waki mgeuka Konde.