crankshaft
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,427
- 3,438
King kiba hasemi tu ila kamsajili mpaka Jay Z😏[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hata Akon kasainiwa kwa kiba
King music
Tuache na unafiki wetuTatizo hamjiamini na vya kwenu, shida saba wa Tanzania, comments zimekaa kinafiki nafiki
Ukubwa na kua na uwezo wa kumanage kazi za mtu ni dili mbili tofauti. Unajua kua Wakazi alikua meneja wa Lady Jay Dee?Mbona scales ni msanii mkubwa kuliko harmonize mwenyew
Hivi Konde boy kawakosea nini wanazengo wa JF?Jamaa sijui anawaza kwa kutumia Nini?huyo msanii ibra kashindwa kumsimamisha vizuri kwenye soko la hapa home Hadi sasa hiv ajulikani mbinguni Wala duniani 🤣😂 bado haitoshi anaongeza msanii mpya duh!
Unafiki unakufikisha wapi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tuache na unafiki wetu