Harmonize amsaini Scales kutoka Nigeria

Hivi Konde boy kawakosea nini wanazengo wa JF?
Ukifuata hizi comments za humu zitaku pumbaza hali jinsi ilivyo humu na huko uraiani iko tofauti sana tena sana


Kuna watu humu huwa wanasema kuwa konde ameisha keshafulia ..lakini huko mitaani bado anakubalika sana ..majuzi kati nilitazama clip yake 1 hivi alikuwa yupo. Saba saba aisee " ni hatari
 
Sasa anaenda kwenye watu, nilazima wamfuate aende ambapo hamna mikusanyiko ndo ataelewa shoooo.
 
Haina maana Konde gang watasimamia kazi zake Nigeria na kwingine. Mwenyewe anasema Konde wanakua management yake "East Afrika."
Kwa maana nyingine anaweza kua na management nyingine South Africa, Asia, Europe......
Ila ni hatua kubwa sana kwa team Konde.
 
Hivi Konde boy kawakosea nini wanazengo wa JF?
Hakuna chuki hapo Ebu angalia kwanza hoja niliyotoa Ni uongo au ukweli? kabla ujakimbilia kujifichia kwenye kichaka Cha kusema "chuki"
 
Yes CEO wa SM music young skales amesaini konde gang kama wasimamizi wa kazi zake east Africa hapa ila sio huko Nigeria nafikiri kuna makubaliano mengine wamekubaliana. Na manager wake kwa east Africa atakuwa chopa tz ..

Hii ni zaid ya kufungua njia kwa wasanii wake maana skales nae ana lebel yake wanafanya kama partnership..

Safi konde boy waueee
 
Jamaa sijui anawaza kwa kutumia Nini?huyo msanii ibra kashindwa kumsimamisha vizuri kwenye soko la hapa home Hadi sasa hiv ajulikani mbinguni Wala duniani 🤣😂 bado haitoshi anaongeza msanii mpya duh!
Wewe hapo umemsain nani zaid ya kulamba miguu ya mondi ili ule otherwise utalala njaa .

Tafuta kazi kijana
 
Ni katika kujitangaza tu ukanda huu wa EAfrica, kaona mbali ila snitches wa kibonge hawawezi ona hilo
 
Sasa anaenda kwenye watu, nilazima wamfuate aende ambapo hamna mikusanyiko ndo ataelewa shoooo.
Hahaa hizi chuki sasa .. Msanii gani akienda sehemu ambayo haina watu " halafu watu watamfuata ...!?? Yaani bidhaa ipelekwe porini then ipate soko!? Eehh maajabu haya
 
Wewe hapo umemsain nani zaid ya kulamba miguu ya mondi ili ule otherwise utalala njaa .

Tafuta kazi kijana
Naona una mapenzi ya dhati Sana na harmonize kwani hapo nilichozungumza ni uongo?
 
Wanaija ndio wanaelewa nyimbo za Harmonize, baby I go dieee. Nyinyi wazaramo hamjui kingleza.
 
Hahaa hizi chuki sasa .. Msanii gani akienda sehemu ambayo haina watu " halafu watu watamfuata ...!?? Yaani bidhaa ipelekwe porini then ipate soko!? Eehh maajabu haya
Ujanielewa, namaanisha kwanini anavizia sehemu zenye watu Kama uwanjani kwenye mechi au Saba Saba na pia anangojea nanenae aende daaah[emoji85][emoji85][emoji85]
 
Ujanielewa, namaanisha kwanini anavizia sehemu zenye watu Kama uwanjani kwenye mechi au Saba Saba na pia anangojea nanenae aende daaah[emoji85][emoji85][emoji85]
Mkuu jamaa siku ile hakwenda Saba Saba kutembea bila sababu ... Alikwenda Saba Saba kama balozi wa CRDB akaingia katika banda la CRDB akafanya kilicho mpeleka baada ya hapo ndio ikawa hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…