hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Ukifuata hizi comments za humu zitaku pumbaza hali jinsi ilivyo humu na huko uraiani iko tofauti sana tena sanaHivi Konde boy kawakosea nini wanazengo wa JF?
Kuna watu humu huwa wanasema kuwa konde ameisha keshafulia ..lakini huko mitaani bado anakubalika sana ..majuzi kati nilitazama clip yake 1 hivi alikuwa yupo. Saba saba aisee " ni hatari