Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
So tumekubaliaba kuwa watu wakio kuwa sabasaba ndo aliwashobokea, but sio walienda kwa ajili yake but maonyesho ya sabasaba.?Mkuu jamaa siku ile hakwenda Saba Saba kutembea bila sababu ... Alikwenda Saba Saba kama balozi wa CRDB akaingia katika banda la CRDB akafanya kilicho mpeleka baada ya hapo ndio ikawa hivyo
Khaaa!!! Kwani Mimi nilipinga hiloSo tumekubaliaba kuwa watu wakio kuwa sabasaba ndo aliwashobokea, but sio walienda kwa ajili yake but maonyesho ya sabasaba.?
Hapo sawa kakaKhaaa!!! Kwani Mimi nilipinga hilo
Wewe unaejua mpk mondi anavaa chupi gani Leo na kanunua nguo wapi..Naona una mapenzi ya dhati Sana na harmonize kwani hapo nilichozungumza ni uongo?
Nasikia wewe ndio mmbeba pochi wa SaraWewe unaejua mpk mondi anavaa chupi gani Leo na kanunua nguo wapi..
Tukuiteje mkewe ama ? Naskia ndo unaziba pengo la Tanasha eti auntyView attachment 1524192
Ila umenizudi kwa kupuyangaScales ,skales au young skales?
Umepuyanga na wewe
Hamna nimeamua tu kujipa likizo..ila leo nitapita mara1Nani kakutorosha nani anakuficha hivyo
Huyu jamaa huwa hataki shobo ..nasikia hata Nicki Minaj yupo chini ya lebo yakeKing kiba hasemi tu ila kamsajili mpaka Jay Z[emoji57]
Pole sana jamaa nimekugusa pabaya sana ambapo anatelezeshea nyoka mondi..Nasikia wewe ndio mmbeba pochi wa Sara
[emoji16] [emoji16] [emoji16] acha masihara weweHabari ya kusikitisha skales ni sawa na baraka da prince alie changamka
SUBIRI KIDOGO
Habari ya kusikitisha skales ni sawa na baraka da prince alie changamka
SUBIRI KIDOGO
matusi ya nini? matusi hutoka katika kifua cha mpumbavuWewe unaejua mpk mondi anavaa chupi gani Leo na kanunua nguo wapi..
Tukuiteje mkewe ama ? Naskia ndo unaziba pengo la Tanasha eti auntyView attachment 1524192
Shobo mbaya sana kwahiyo hujaona hapo anaponitukana?matusi ya nini? matusi hutoka katika kifua cha mpumbavu