Harmonize amtumia Diamond Platinumz ujumbe wa mwaka mpya kuhusu umuhimu wa wazazi

Mama angu hawezi kwenda coz hayamuhusu ila domo ataenda maana hadi hapo huwa anapewa pesa na domo sema sio kiwango cha showoff nyingi na ana watoto wengine zaidi ya domo
Hivi ikitokea huyu mzee katangulia mbele za haki kweli Diamond na mama yako watakwenda msibani? na akipewa maiki atasema nini?
 
Dudu la yuyu aaaah aaah umenichanganya!!!!

we daj Sadia babako
 
Hamornize ndio saiz ya diamond, akileta majungu mmakonde nae anarusha yake, ila all in all Harmonize mkali sanaaaaa
 

Atakuwa amwambia Anko Shamte ndio babake yan biological father right ?
 
kwa hyo kwakuwa hakuna bond ndio aachwe ateseke? au anasubiri akifa ndio amuhudumie?


If I don't feel you, then I don't have any business with you. Mateso yako mimi yananihusu nini wakati you're no body to me. Kwasababu wewe kichwa maji huwezi kuelewa hii message
 
Mipasho ndiyo Mingi.

Someni historia za kina Robert Wangila(R.I.P)...Mwanamasumbwi kutoka Kenya.
Paul Ince aliyekipiga Liverpool kwa mafanikio.
Huyu Marcus Rashford anayekipiga Manchester kwa sasa unaambiwa hata kwenye cheti cha kuzaliwa hakuna jina la Babake..

Wakati mwingine ni vizuri sisi kina Baba kubeba Majukumu ya Watoto wetu kwa asilimia zote tangu awali.
 
Kwanini unafikiri ujumbe huu ni kwa Diamond?Bongo ina watu Millioni 55!sio Mond pekee asiye na mahusiano mazuri na Dingi yake,
Huyu dogo naye,ifike sehemu akue,ameishajitoa WCB,sasa mambo ya kutafuta Kiki kwa mgongo wa Mond aaache,kwanini asiwe Kama Rich movoko,nyimbo zake huwezi kuzikuta Zina chembechembe yoyote ya vijembe kwa Mond,
 
hivi ni mimi tu niliyedhani huu uzi ungehusu ile message harmonize kaposti Instagram???
Hivi ulikuwa na ulazima gani wa kuandika heading kama hiyo???
Kwa nini usingesema harmonize aimba kuhusu umuhimu wa wazazi???
Hivi huoni hata aibu???
Aisee hii ndio bongo mmhhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…