Harmonize amtumia Diamond Platinumz ujumbe wa mwaka mpya kuhusu umuhimu wa wazazi

Harmonize amtumia Diamond Platinumz ujumbe wa mwaka mpya kuhusu umuhimu wa wazazi

Acha mkuu baba hawezi kuwa baba tu tuseme ana kazi na mshahara yeye ni pombe na mademu we ukitoboaa utamuona kama baba
Mzazi ni mzazi hata akosee vipi,
Ndo maan kuna msemo "mzazi hakosei"
Huyu Diamond ajitathimini sana kwenye hili.
 
Mzazi ni mzazi hata akosee vipi,
Ndo maan kuna msemo "mzazi hakosei"
Huyu Diamond ajitathimini sana kwenye hili.
Andiko lazma litimie...huwezi zaa ukatelekeza. Mim shanazi mtu mbona nalea WATOTO wa njee wa ndugu zangu bcs staki watelekezeke
 
Mzazi ni mzazi hata akosee vipi,
Ndo maan kuna msemo "mzazi hakosei"
Huyu Diamond ajitathimini sana kwenye hili.


Huyo mdingi inabidi arudi kule alikotumia pesa zake labda watamrudishia chenji, aache kuleta ukuda wakati watu wanakula bata zao ambazo hazimuhusu.
 
Huyo mdingi inabidi arudi kule alikotumia pesa zake labda watamrudishia chenji, aache kuleta ukuda wakati watu wanakula bata zao ambazo hazimuhusu.
Pesa zenyewe zipi mtu mwenyewe masikini tu, angekuwa ana hela labda.
 
Wasalaam wana jamvi
Msanii Harmonize kupitia wimbo wake mpya wa "WAPO" AMEMTUMIA salamu za Mwaka mpya 2021
Harmonize amemkumbusha Diamond kuhusu umuhimu wa wazazi wote wawili hasa wakiwa hai kabisa.

namnukuu anasema
"Kama baba na mama ndo nguzo ya dunia

Wapende wote
Sio wa kike anacheka wa kiume analialia
Bila msaada wowote"


Wapo Lyrics – Harmonize


(B Boy) Eeh
Mmmh mmh
Hivi kwanini nijitutumue
Na dunia sio makazi
Vijineno neno vinisumbue
Hadi nishindwe kazi
Mama alisema mkuku kwa nguruwe
Kuishi na watu kazi
Achambe atukane ata aniue
Nishasamehe mzani ni mzazi


Kifupi nafunika kombe
Nikiamini kesho nayo siku
Mapicha picha mapicha
Sidhani kama nitapona
Wanangu wa mtaani mniombee
Hii vita ni mchana na usiku
Oooh kuna watu na viatu
Wanatamani milele wawe wao
Ukijituma watasema
Unashinda nao


Oooh ni kama watu kumbe
Ndani wana roho za chatu
Hawatosheki na vikubwa vyao
Wanatamani hata kidogo chako kiwe chao
Mola nipe ujasiri
Kwenye kufanya maamuzi
Zidi nikomaza akili
Isinipoteze miluzi
Uniamshe alfajiri
Kama jana na juzi
Kupata kukosa ni siri
Nawe ndo Mungu baba mwamuzi
Dear Lord, wapo
Iyeiye iye, wapo
Japo ni ngumu kuwaona, wapo
Wapo wasotaka ufanikiwe
Binadamu hawana jeru, wapo
Kila utachofanya watasema, wapo


Watakuita mwanga kibonge
Tena kwa dharau wakucheke
Wanachotaka we uongee
Waseme shukrani ya punda mateke
Kama vipi dem wake tumgongee
Ndiye anayempiga chura teke
Usipoonewa ndonge
Basi ndo ujue hauna makeke
Sikia Konde kwepa bana mjini shule
Ukipata kidogo leta na nao tule
Wachana nao wamesemaga umezoea vya bure
Maana siku zote nyani halioni kundule

Kama baba na mama ndo nguzo ya dunia

Wapende wote
Sio wa kike anacheka wa kiume analialia
Bila msaada wowote

Oooh kuna watu na viatu
Wanatamani milele wawe wao
Ukijituma watasema
Unashinda nao
Oooh ni kama watu kumbe
Ndani wana roho za chatu
Hawatosheki na vikubwa vyao
Wanatamani hata kidogo chako kiwe chao
Mola nipe ujasiri
Kwenye kufanya maamuzi
Zidi nikomaza akili
Isinipoteze miluzi


Kupata kukosa ni siri
Nawe ndo Mungu baba mwamuzi
Dear Lord, wapo
Iyeiye iye, wapo
Japo ni ngumu kuwaona, wapo
Wapo wasotaka ufanikiwe
Binadamu hawana jeru, wapo
Kila utachofanya watasema, wapo
Wapo wasotaka ubarikiwe


Dear Lord
“Special message to the Youth”
It’s your time now to follow your dreams
No matter what people say stay humble
Stay positive, follow your dream
Believe in God, ease your mind
Ease your mind for Lord
(The Most Wanted Mix)




wasalaam wana jamvi
Mpumbavu... Hivi baba di kasema wapi ana shida..

Kashagundua ili ale. Lazima amtaje mondi.. Upumbavu..
 
Andiko lazma litimie...huwezi zaa ukatelekeza. Mim shanazi mtu mbona nalea WATOTO wa njee wa ndugu zangu bcs staki watelekezeke
Mmmmmh sasa yeye anaona raha mzazi wa kiume kuhangaika vile mmmmh. Inashangaza sana lol
 
Huyo mdingi inabidi arudi kule alikotumia pesa zake labda watamrudishia chenji, aache kuleta ukuda wakati watu wanakula bata zao ambazo hazimuhusu.
Msamaha pia n jambo la kheri. Mzazi huwa hakosei kwa mtoto.
 
huyu jamaa anamuwaza sana diamond si aendelee na maisha yake hajazaliwa nae eti
 
Back
Top Bottom