Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 9,980
- 34,404
Naaaaaaam!!!!Ni mimi ndio, nakunywa "kahawa" hapa nikisubiri machalari yaive! Siku inaenda vyema madam[emoji3]
Usisahau Parachichi[emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naaaaaaam!!!!Ni mimi ndio, nakunywa "kahawa" hapa nikisubiri machalari yaive! Siku inaenda vyema madam[emoji3]
Hilo dude uliliona?Kwani ndo mara ya kwanza kuolewa? Kulia huwa ni unafki tu kwani huwa hawajui kinachofanyika na unakuta maandalizi wameyafanya wote.....sema mmakonde ndo haamini kapata mwanamke wa kuvumilia lile dude (kama issue iko serious lakini) Evelyn Salt
Nashangaa tu unafurahia vitu vyenye sina, sasa hapa nawaza huwa unavishika wapi🙆🙆🙆🙆Hutakiwi kuona madudu yangu naweee!!
Kama kidogo sasa🙆🙆🙆Kazi Ipo[emoji28]
Pete 10bn halafu bibi kavaa vitambaa vya paziaHallelujah!! Hayawi Hayawi sasa yanekuaaa [emoji6] Love is a beautiful thing hasa ukipata mtu umpendae na yeye akakupenda [emoji7] leo hii jioni Harmonize amemvisha pete ya uchumba mpenzi wake wa siku nyingi Kajala Masanja.
Inasemekana Pete hio imegharimu bilioni 10 za kitanzania. Pete hiyo imenunuliwa nchini uturuki kwa kina ertugru [emoji16]
Wamependeza sana na wenye wivu wajinyonge [emoji12] Kwa sasa hii ndo kapo namba moja inayokubalika na yenye ushawishi mkubwa Tanzania na East Africa. Tunawatakia maisha mema na ya furaha tele...[emoji3578]
Picha na video chini ni bwana Harmonize akiwa na mchumba wake Kajala wakati wa tukio zima la uvishwaji pete. View attachment 2271917
View attachment 2271918
View attachment 2271919
View attachment 2272018
Mayai yake alifungia chips kitamboRajabu kenge sana hilo gumegume amuulize P Funk afu nyonga zishakaza asitegemee kulijaza ujauzito
Mmakonde anatafuta kutrend hajui huyu mama ni mla mbolea kitamboMabilionea wanahesabika sjawai msikia harmonise asa iyo 10b inaingiaje apo.....kajala sio wa kukaa kwenye ndoa wananzengo tunajua
Mpigie nyeto utaona maajabu yakeKajala anamaajabu gani kushinda demu wangu wa mwananyamala?
Ila kakuzidi pesa na fameDogo mshamba Sana huyu
Ukishazoea kuyala ma-MILF......hakuna kitu utaona vigori wanafanya hata upewe bikra.Kijana anapenda old stone version
Sasa uyo dada atakubali kuyaishi maisha ya ndoa eti awe mama wa watoto wa mtu awalee ktk maadili kama wamama wengine alivyo hivyo! Mtu anafanywa na libol*o ambalo tayari lishamfanya binti yake! Maana msg alizovujisha wakati ule kuna mahali nliona kwa uelewa wangu ni kama alikuwa anamshawishi waendelee asimuogope mamaMmakonde anatafuta kutrend hajui huyu mama ni mla mbolea kitambo
Kwani si kajala mwenyewe alivujisha akati wanaachana anamlaumu kumtongoza binti yake na kumtumia ilo dude ndo wananzengo kulionaHilo dude uliliona?
Haya ma freemason hiyo 10B ni pocket change tu.Acha ujinga! Bilioni 10 unaijua wewe? Utajiri wake wenyewe haufikii bilioni10, ndio ije iwe pete ya uchumba tu??!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwani Kwa nini wanaume wamekasirika?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]