Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Mwache Bwana harusi,ndoa ndo kwanza changaOngeza na Ali Kiba hapo....atakuwa Super sub.
Kwakweli Njomba Nchumali katudhalilisha wamakonde nilitegemea ntu kama yeye ndio angekuwa na kifua maana atake kwetu ntwara ukanda wa unyago na kufundwa..... bhaaaaaJamani wanaume wa mkoani nawapenda sana,hawa wa dar aibu naona mie.
Nawaza kwani wolper si alikuaga na wanaume wengi sana why drama na konde boy?
halafu konde boy na yeye aache ushamba atulie na zezeru wa kizungu
Ali K ndo alikua anamyoosha hizo pande za Kijitonyama Alimau nyumba Namba SMB 122Mwache Bwana harusi,ndoa ndo kwanza changa
Njomba nchumali amekosea sana na amewakosea alio wataja...hii si njia nzuri anayo paswa kutumia mwanaume kulumbana na mwanamke....
Hii njia inaweza mgombanisha Harmonize na alio wataja....
Kwakweli kati ya jambo ambalo anatakiwa kuwa makini nalo mwanaume ni jinsi ya kulumbana na mwanamke...
Harmonize amekosea na sasa yeye ndio ameonesha si mwanaume kamili wa kimakonde mwenye chale na alkiye kwenda unayagoni maana amedhihirisha hana kifua kabisa...
Kwa kweli Harmonize amejidhalilisha na kuwadhalilisha alio wataja labda kama alipata ridhaa yao.
Jikumbushe hii,2007 hiyo jarida la Bab Kubwa huyu demu kaanza umalaya kitamboAli K ndo alikua anamyoosha hizo pande za Kijitonyama Alimau nyumba Namba SMB 122
Shamsa kalinunua bifuu huko[emoji23] [emoji23] ,,Hahaha eti hasira za fundi cherehani mchaga..woooi kikosi A[emoji23]
Niko hapa nasubiri kikosi B
NakaziaNjomba nchumali amekosea sana na amewakosea alio wataja...hii si njia nzuri anayo paswa kutumia mwanaume kulumbana na mwanamke....
Hii njia inaweza mgombanisha Harmonize na alio wataja....
Kwakweli kati ya jambo ambalo anatakiwa kuwa makini nalo mwanaume ni jinsi ya kulumbana na mwanamke...
Harmonize amekosea na sasa yeye ndio ameonesha si mwanaume kamili wa kimakonde mwenye chale na alkiye kwenda unayagoni maana amedhihirisha hana kifua kabisa...
Kwa kweli Harmonize amejidhalilisha na kuwadhalilisha alio wataja labda kama alipata ridhaa yao.
Hakuna ambaye alikuwa hajui hiyo list tena kuna watu kawasahau lakini katika hili Harmonize ameonekana ni mjinga sana...
Njia pekee mwanaume anaweza kutumia kulumbana na mwanamke ni kukaa kimya...
Kwa list hii mnataka waolewe kweli? Waacheni wawe mabwawa ya kuogelea (swimming pool) Mimi hata siwaonei huruma kabisa. Halafu hawana hata kichefuchefu wanabadilishana mabwana kama kwenye mbio za vijiti ptuuuuSiku chache baada ya Wolper kutamka kuwa Sara demu mzungu wa Konde boy ni mlezi wa wana,hii imekuna kufuatia uwepo wa tetesi za mzungu huyo kushare maumbile na Baunsa Mwarabu fighter, Hatimaye Harmonize aamua kutaja first eleven ya njemba zilizosuuza rungu kwa Jack....akiwemo Chibu Dangote na Jux Juma,Makochali,Chidi Mapenzi etc....[HASHTAG]#UkiachwaAchika[/HASHTAG] hii vita itawaathiri hata wasiohusika
View attachment 769544
Namuunga mkonoShamsa kalinunua bifuu huko[emoji23] [emoji23] ,,