Harmonize amwaga list ya vidume waliompitia Wolper; Shamsa ang'aka mumewe kutajwa

Harmonize amwaga list ya vidume waliompitia Wolper; Shamsa ang'aka mumewe kutajwa

yani ana hasira sana unions hta alivyocoment kwa mwarabu eti bora angekuwa mwingne ila sio ww
Ndio maana wasichana wengi hutembea na wababa waliowazidi umri,kwani ujinga kama huu hawezi kuufanya adharani
 
Jamani wanaume wa mkoani nawapenda sana,hawa wa dar aibu naona mie.
Nawaza kwani wolper si alikuaga na wanaume wengi sana why drama na konde boy?
halafu konde boy na yeye aache ushamba atulie na zezeru wa kizungu
Usipoteze mda mrembo, wa mkoani tumebaki wachache ....njoo pm tuyajenge.
 
Mambo yanazidi kuwa ya motooooooooooo, sasa picha limeanza hivi, Wolper alihojiwa kuhusiana na Sarah kutoka kimapenzi na Mwarabu Fighter, Wolper akamnanga Harmonize kwamba Sarah ni demu Malaya ambaye kazi yake kubwa kununua wanaume kisha kuwatumia akimaliza haja zake anatema kama big G, jibu hilo la Wolper lilimkwaza sana Harmonize kuona mwandani wake anatukanwa na kudhalilishwa pasi na kosa lolote alilomfanyia Wolper.

Harmonize akajibu mashambulizi kwa kuorodesha idadi ya wanaume wote waliokula utamu wake bila kujisahau yeye mwenyewe, sasa kimbembe kilikuja kutokea mara baada ya Harmonize kutaja jina la Chidy Mapenzi.


Weeeee hapo sasa aliuwasha moto, Shamsa Ford alionesha kuchukizwa vilivyo kuona mumewe anahusishwa katika huo msululu wa wanaume wa Wolper.

Shamsa Ford alimpa maneno makali sana Harmonize

Sasa hapa bado tunamsubiri Vanessa Mdee tuone naye atasemaje kwa sababu Harmonize alimuorodhesha mpaka Jux kwenye huo msururu

IMG_20180507_220101_716.jpg
 
Dah

Hapo kuna MTU mzima anajiabishaa

Angejua tusi kubwa la lamkutusi mwanamke mjinga ni kukaa kimya

Harmonize ni ngese UNAHAIBISHA WANAUME
 
Aisee hapo kila sample ya ukuni ipo.. Wolper nomaa
 
Back
Top Bottom