mtafuta-maisha
JF-Expert Member
- Nov 5, 2016
- 1,982
- 2,931
Anatafuta pa kupunguzia machungu,Ametudhihirishia kuwa bado anampenda mchaga fundi cherehaniMwarabu kamchanganya akili.
Njoo nyumbani nikwambie kituShamsa kalinunua bifuu huko[emoji23] [emoji23] ,,
yani ana hasira sana unions hta alivyocoment kwa mwarabu eti bora angekuwa mwingne ila sio wwAnatafuta pa kupunguzia machungu,Ametudhihirishia kuwa bado anampenda mchaga fundi cherehani
Ndio maana wasichana wengi hutembea na wababa waliowazidi umri,kwani ujinga kama huu hawezi kuufanya adharaniyani ana hasira sana unions hta alivyocoment kwa mwarabu eti bora angekuwa mwingne ila sio ww
Amesahau kuwa kuchapiwa ni siri ya ndaniyani ana hasira sana unions hta alivyocoment kwa mwarabu eti bora angekuwa mwingne ila sio ww
Ushamba unansumbuaKIKII tu bongo hakuna jipyaa..!! Ilaa harmo kaonesha tabia za kisho...ga sanaa
Usipoteze mda mrembo, wa mkoani tumebaki wachache ....njoo pm tuyajenge.Jamani wanaume wa mkoani nawapenda sana,hawa wa dar aibu naona mie.
Nawaza kwani wolper si alikuaga na wanaume wengi sana why drama na konde boy?
halafu konde boy na yeye aache ushamba atulie na zezeru wa kizungu
7.Konde boyMbona yeye hajajiweka kwenye hiyo list,
Hata ungekuwa umedhalilishwa vile na Wolper usingekaa kimya, alichokifanya Harmonize yupo sahihi sana. Dawa ya moto ni motoUlimbukeni ukuzidi matokeo yake ndio haya,tatizo bado ni kijana
Ndio maana na papuchi pia imeoza, inatoa toa harufu kama budegeAisee hapo kila sample ya ukuni ipo.. Wolper nomaa