Harmonize amwaga list ya vidume waliompitia Wolper; Shamsa ang'aka mumewe kutajwa

Harmonize bado hajajitambua kama mwanamme kweli,mwanaume huwa harumbani na mwanamke hadharani,yeye angekaa kimya ingemjengea heshima kubwa sana kuliko kutaja watu ambao wala hawahusiani katika mkasa wenu,Na kama alijua kama demu ana list ndefu namna hiyo alimkaza kutafuta nini?
Harmonize be a man.
 
Halafu maskini ha Mungu ukute list yote hiyo unakuta Ommy Dimpoz hayupo hata kusingiziwa tu dooh mtoto yule na ustaa wake wote hajui hata sura ya kinembe ilivyo....
Yaani yule sijui anapakuliwa, kazi kulamba lipsi tu[emoji16]. Sasa kama hugongi watoto wakali kuna faida gani ya kuwa staa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna jamaa kaja asubuhi.
Ananiuliza eti nyumba ya diamond na Ali kiba IPI ni ya gharama.
Nikamjibu kama ningekuwa na bastola ningekupiga.
Yaani asubuhi yote badala ya kufanya vitu vya maana unawaza nyumba za watu.
Si ungemjibu, au una hasira kwavile huna nyumba?
 
somo kitu kizuri kula na wenzio bana eeeee ntu nchoyo hafai
 
Sara kanogewa na dule la mwarabu..huyo nywele chavi atulize mshono
 
Tatizo kudate na vijitu visivyojielewa huyo kaka anakiherehere anajiona superstar kumbe ovyo pale WCB yeye ndio kiherehere kupitiliza hiyo list ya kawaida sana kwa mwanamke sema sababu yeye star na anapenda kujianika mahusiano yake UKIACHWA ACHIKA boss wake kashasema
 
Ila wazungu huwa wana fantasy za ajabu sana katika mapenzi...yaani anaweza kumuona mtu mlemavu akatamani aone uwezo wake kitandani, hata akimuona mtu mwenye sura mbaya dunia nzima, they still still wanna try something new tofauti na wahindi, wachina e.t.c ni rahisi sana kumla demu wa kizungu kuliko mhindi, mchina, mwafrika. Been there done that.

Sometimes naamini mwarabu anaweza kuwa kapewa bumbu na mzungu wa Italy maana wazungu wanapenda sana muscle, buff and strong morfukers. Sema labda na yeye mwarabu kaamua kupitishiamo mambo yake ya business.

Wazungu are wild, free and true definition of human being, they are not fake, they real respect their emotions and instinct
 


Haya unayasema wewe kuwa kakosea, wanaume wa Dar wanaona ujiko kushare mwanamke na kutajana. Usikute kuna wengine wamekasirika kwanini hawakutajwa kwenye hiyo list.
 
k yake itakuwa "over used" kama ni gari la mtumba litakuwa linasoma Km 987623333333, na linakuny* moshi
 
Naona yeye amejisahau kwenye orodha
 
Moto unaounguza hata wasiohusika?? hivi kwa sasa unadhani hao wengine wanajisikiaje? bora tu angetaja idadi lkn co majina
Hpo kwa marco chali mmakonde kayamunya namjua yle mshkaji hatakagi ushamba kabsaaaaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…