athumanishapu
Member
- Oct 25, 2017
- 71
- 51
Yajayo yanafuraisha ayseee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani yule sijui anapakuliwa, kazi kulamba lipsi tu[emoji16]. Sasa kama hugongi watoto wakali kuna faida gani ya kuwa staa[emoji23][emoji23][emoji23]Halafu maskini ha Mungu ukute list yote hiyo unakuta Ommy Dimpoz hayupo hata kusingiziwa tu dooh mtoto yule na ustaa wake wote hajui hata sura ya kinembe ilivyo....
Si ungemjibu, au una hasira kwavile huna nyumba?Kuna jamaa kaja asubuhi.
Ananiuliza eti nyumba ya diamond na Ali kiba IPI ni ya gharama.
Nikamjibu kama ningekuwa na bastola ningekupiga.
Yaani asubuhi yote badala ya kufanya vitu vya maana unawaza nyumba za watu.
somo kitu kizuri kula na wenzio bana eeeee ntu nchoyo hafaiSiku chache baada ya Wolper kutamka kuwa Sara demu mzungu wa Konde boy ni mlezi wa wana,hii imekuna kufuatia uwepo wa tetesi za mzungu huyo kushare maumbile na Baunsa Mwarabu fighter, Hatimaye Harmonize aamua kutaja first eleven ya njemba zilizosuuza rungu kwa Jack....akiwemo Chibu Dangote na Jux Juma,Makochali,Chidi Mapenzi etc....[HASHTAG]#UkiachwaAchika[/HASHTAG] hii vita itawaathiri hata wasiohusika
Shamsa Ford akasirika mumewe Bw. Chidi Mapenzi kutajwa
Mbona yeye hajajiweka kwenye hiyo list,
Njomba nchumali amekosea sana na amewakosea alio wataja...hii si njia nzuri anayo paswa kutumia mwanaume kulumbana na mwanamke....
Hii njia inaweza mgombanisha Harmonize na alio wataja....
Kwakweli kati ya jambo ambalo anatakiwa kuwa makini nalo mwanaume ni jinsi ya kulumbana na mwanamke...
Harmonize amekosea na sasa yeye ndio ameonesha si mwanaume kamili wa kimakonde mwenye chale na aliye kwenda unayagoni maana amedhihirisha hana kifua kabisa...
Kwa kweli Harmonize amejidhalilisha na kuwadhalilisha alio wataja labda kama alipata ridhaa yao.
Hakuna ambaye alikuwa hajui hiyo list tena kuna watu kawasahau lakini katika hili Harmonize ameonekana ni mjinga sana...
Njia pekee mwanaume anaweza kutumia kulumbana na mwanamke ni kukaa kimya...
Siyo Mnemba tu ni Nsungu........!!!!Nina wasiwasi na Umakonde wa Harmonize.....na kama ni mmakonde basi hajapitia jandoni bado "mnemba"
Haaa haaaa! Yeye yupo kikosi CNaona yeye amejisahau kwenye orodha
AiseeeHaaa haaaa! Yeye yupo kikosi C
Hyu nchumali toka lini kawa wa dar? Hv kwann wajinga wajinga wote mwatutupia cc hku?Usipoteze mda mrembo, wa mkoani tumebaki wachache ....njoo pm tuyajenge.
Hpo kwa marco chali mmakonde kayamunya namjua yle mshkaji hatakagi ushamba kabsaaaaa!Moto unaounguza hata wasiohusika?? hivi kwa sasa unadhani hao wengine wanajisikiaje? bora tu angetaja idadi lkn co majina