Harmonize amwaga list ya vidume waliompitia Wolper; Shamsa ang'aka mumewe kutajwa

Harmonize amwaga list ya vidume waliompitia Wolper; Shamsa ang'aka mumewe kutajwa

Wanawake nawo kwa kupenda dogo dogo?!
Matokeo yake ndiyo haya, Wolper atafute mtu mzima atulie naye, kama Mrs Mengi sasa, na siyo lazima awe tajiri..Vitoto vidogo lazima vimwage radhi kama hivi!
Yawezekana K hainuki wala nini, Wolper bomba, akisikiliza haya ataishi kwa raha mstarehe, hivi vitoto viacheni vitembee na vitoto vyenzao..
 
Mm napanikigi haya masuala najuaga ni utoto kumbe tupo wengi sana aiseee
 
Halafu kuna bwege mmoja ataenda Moshi kumlipia Mahari ya milioni 10 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Sebuleni hataangalia tv kwa raha maana ni full nyimbo za ma-ex wa mkewe kasio Alikiba, Diamond au Harmonize mara jux akibalidiaha chanel nyimbo za Producer Makochali [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan we kaka hhhhaaaaaaa
 
Wasafi ni wajinga sana kasoro lava lava
 
wasanii wqbongo wote wqnazidiwa na dogo Janja aliye owa ....Jimama wake akatulia tuli....mpakq mzee kipusa na Ay na Stamina na msaidiz wa mzee kipusa Abdul kiba wote kwa Ujumla wao wameamua kumuiga ...Mzee Janjalo.
 
Umeambiwa hio ni team A, bado B na C[emoji1] [emoji1]
Halafu maskini ha Mungu ukute list yote hiyo unakuta Ommy Dimpoz hayupo hata kusingiziwa tu dooh mtoto yule na ustaa wake wote hajui hata sura ya kinembe ilivyo....
 
Hii ndio komesha ya wanawake wapuuzi wanaochukulia udhaifu wa mwanaume kujibishana hadharani kama utoto ili wakutukane..

Sasa hivi kama mbwai na iwe mbwai tu dem akikutukana na wewe unamchana tu..waloshazoea akikutukana unakaa kimya sasa wataisoma namba wapuuzi hao..

Yaani magu atunyooshe bado mpuuzi mwingine akutukane ukae kimya...no plz
 
31270315_1291522640980642_4820290754633007104_n.jpg
31104006_262532290958425_5936582136734679040_n.jpg
31571335_168250787194824_4729796738599092224_n.jpg
31270314_374017546416328_4057886789182947328_n.jpg
 
Ila hii drama itaididimiza zaidi wasafi maana jeuri ya harmo ipo hapo.
 
shamsa bora angejifanya kama hajaona post
 
Mwanaume anaendaga unyagoni?

Karibu kwetu wa mikoani, hatunaga kelele, huku ni kazi kazi na mapenzi tele, 4more info just pm ur no to my inbox
Unataka umfumue rinda ? Huyo lumumba si anajifanyaga ni mwanaume ?
 
Konde Boy bwana si ampeleke Sarah akaweke tundu lingine la pua
 
Back
Top Bottom