Harmonize amwaga list ya vidume waliompitia Wolper; Shamsa ang'aka mumewe kutajwa

Harmonize amwaga list ya vidume waliompitia Wolper; Shamsa ang'aka mumewe kutajwa

Mbona wachache?

Wale saba walomlaga mande?.
Aly Kiba je?

Na zile show za night standing?!!!
Harmonize umemdhalilisha sana Wolper!!!mpe idadi yake kamili
hahaaaa siksema list B inakuja
 
Sasa Nina lenyewe tu Mapenzi analalama nini?hiyo ndiyo bongo movie +bongo flava
Wanachanganyana sana hawa..ni kawaida kwao
 
hapo mbwa kala mbwa "" ila daaahh hao hata kinyaa hawana aiseee"" demu kagongwa na chibu na yeye harmo kagonga bora ingekuwa Kimya Kimya basiii""" jamaa wanapasiana mademu kma vipisi vya sigara "" au free wife ya coke connect
 
Bwana Harusi hajatajwa kwenye Long List set ya no 2 late.
 
hapo mbwa kala mbwa "" ila daaahh hao hata kinyaa hawana aiseee"" demu kagongwa na chibu na yeye harmo kagonga bora ingekuwa Kimya Kimya basiii""" jamaa wanapasiana mademu kma vipisi vya sigara "" au free wife ya coke connect
eti "wanasambaza" tuzame wengi
 
Siku chache baada ya Wolper kutamka kuwa Sara demu mzungu wa Konde boy ni mlezi wa wana,hii imekuna kufuatia uwepo wa tetesi za mzungu huyo kushare maumbile na Baunsa Mwarabu fighter, Hatimaye Harmonize aamua kutaja first eleven ya njemba zilizosuuza rungu kwa Jack....akiwemo Chibu Dangote na Jux Juma,Makochali,Chidi Mapenzi etc....[HASHTAG]#UkiachwaAchika[/HASHTAG] hii vita itawaathiri hata wasiohusika


Shamsa Ford akasirika mumewe Bw. Chidi Mapenzi kutajwa
Daaaaaaah Mbona anakosa kua na kifua ka mwanamke bhana
 
Magufuli leo kasema nendeni Mzumbe mkaone, wakufunzi wamekosa wanafunzi wa kuwafundisha sasa wameamua kufundisha vyura. Yaani nchi hii ni comedy kuanzia konda wa daladala mpaka President.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji114][emoji114][emoji114]
 
huyu konde boy amezingua sana..unawezaje kuwataja watu kirahisi hvyo????? wengine wapo kwenye mahusiano mengine..pia hao alio wataja wanahusika vp na ugomvi wake na fundi cherehani??? tatizo wasanii wa tz hawajui mipaka yao..halafu yule dada shamsa kamfuata kwa amani tu lakini jibu alilotoa daaah..huyu jamaa anahitaji elimu kidogo...cjui mtu ukiwa karibu na DAB ni lazima uwe na upungufu wa akili kidogo!!!! nawaza tuu
 
Siku chache baada ya Wolper kutamka kuwa Sara demu mzungu wa Konde boy ni mlezi wa wana,hii imekuna kufuatia uwepo wa tetesi za mzungu huyo kushare maumbile na Baunsa Mwarabu fighter, Hatimaye Harmonize aamua kutaja first eleven ya njemba zilizosuuza rungu kwa Jack....akiwemo Chibu Dangote na Jux Juma,Makochali,Chidi Mapenzi etc....[HASHTAG]#UkiachwaAchika[/HASHTAG] hii vita itawaathiri hata wasiohusika


Shamsa Ford akasirika mumewe Bw. Chidi Mapenzi kutajwa
Huyo Harmonize anaonesha bado ana utoto mwingi. Mwanaume anapaswa kuwa na kaba. Kutoa hiyo orodha maana yake bado hakubaliani kuwa aliachika kwa mtu wake wa zamani. Boy please, grow up!!
 
Halafu kuna bwege mmoja ataenda Moshi kumlipia Mahari ya milioni 10 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Sebuleni hataangalia tv kwa raha maana ni full nyimbo za ma-ex wa mkewe kama sio Alikiba, Diamond au Harmonize mara jux akibadilisha chanel nyimbo za Producer Makochali [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom