Harmonize amwaga list ya vidume waliompitia Wolper; Shamsa ang'aka mumewe kutajwa

Harmonize amwaga list ya vidume waliompitia Wolper; Shamsa ang'aka mumewe kutajwa

Njomba nchumali amekosea sana na amewakosea alio wataja...hii si njia nzuri anayo paswa kutumia mwanaume kulumbana na mwanamke....
Hii njia inaweza mgombanisha Harmonize na alio wataja....
Kwakweli kati ya jambo ambalo anatakiwa kuwa makini nalo mwanaume ni jinsi ya kulumbana na mwanamke...

Harmonize amekosea na sasa yeye ndio ameonesha si mwanaume kamili wa kimakonde mwenye chale na aliye kwenda unayagoni maana amedhihirisha hana kifua kabisa...
Kwa kweli Harmonize amejidhalilisha na kuwadhalilisha alio wataja labda kama alipata ridhaa yao.
Hakuna ambaye alikuwa hajui hiyo list tena kuna watu kawasahau lakini katika hili Harmonize ameonekana ni mjinga sana...
Njia pekee mwanaume anaweza kutumia kulumbana na mwanamke ni kukaa kimya...
Mwanaume anaendaga unyagoni?

Karibu kwetu wa mikoani, hatunaga kelele, huku ni kazi kazi na mapenzi tele, 4more info just pm ur no to my inbox
 
Huwa siamini haya mambo,ni njia za hawa vijana kutafuta kuongelewa tu.
 
Harmo ana hasira ya kugongewa mzungu na (jina kapuni ) [emoji17] [emoji95] [emoji379]
 
Back
Top Bottom