hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
hahaaaa siksema list B inakujaMbona wachache?
Wale saba walomlaga mande?.
Aly Kiba je?
Na zile show za night standing?!!!
Harmonize umemdhalilisha sana Wolper!!!mpe idadi yake kamili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaaaa siksema list B inakujaMbona wachache?
Wale saba walomlaga mande?.
Aly Kiba je?
Na zile show za night standing?!!!
Harmonize umemdhalilisha sana Wolper!!!mpe idadi yake kamili
hata hiyo pia "" hkuwa nayoLabda ya nyuma
Usipoteze mda mrembo, wa mkoani tumebaki wachache ....njoo pm tuyajenge.
eti "wanasambaza" tuzame wengihapo mbwa kala mbwa "" ila daaahh hao hata kinyaa hawana aiseee"" demu kagongwa na chibu na yeye harmo kagonga bora ingekuwa Kimya Kimya basiii""" jamaa wanapasiana mademu kma vipisi vya sigara "" au free wife ya coke connect
anaogopa team Kiba watamjia juu""Bwana Harusi hajatajwa kwenye Long List set ya no 2 late.
yaani we acha tu "" kama hawana H.I.V basi huyo kirusi atakuwa hayupo dunianieti "wanasambaza" tuzame wengi
Daaaaaaah Mbona anakosa kua na kifua ka mwanamke bhanaSiku chache baada ya Wolper kutamka kuwa Sara demu mzungu wa Konde boy ni mlezi wa wana,hii imekuna kufuatia uwepo wa tetesi za mzungu huyo kushare maumbile na Baunsa Mwarabu fighter, Hatimaye Harmonize aamua kutaja first eleven ya njemba zilizosuuza rungu kwa Jack....akiwemo Chibu Dangote na Jux Juma,Makochali,Chidi Mapenzi etc....[HASHTAG]#UkiachwaAchika[/HASHTAG] hii vita itawaathiri hata wasiohusika
Shamsa Ford akasirika mumewe Bw. Chidi Mapenzi kutajwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji114][emoji114][emoji114]Magufuli leo kasema nendeni Mzumbe mkaone, wakufunzi wamekosa wanafunzi wa kuwafundisha sasa wameamua kufundisha vyura. Yaani nchi hii ni comedy kuanzia konda wa daladala mpaka President.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hahaaaa hawaviziani,....wana muogopa mwakipapai
Jikumbushe hii,2007 hiyo jarida la Bab Kubwa huyu demu kaanza umalaya kitamboView attachment 769570
Huyo Harmonize anaonesha bado ana utoto mwingi. Mwanaume anapaswa kuwa na kaba. Kutoa hiyo orodha maana yake bado hakubaliani kuwa aliachika kwa mtu wake wa zamani. Boy please, grow up!!Siku chache baada ya Wolper kutamka kuwa Sara demu mzungu wa Konde boy ni mlezi wa wana,hii imekuna kufuatia uwepo wa tetesi za mzungu huyo kushare maumbile na Baunsa Mwarabu fighter, Hatimaye Harmonize aamua kutaja first eleven ya njemba zilizosuuza rungu kwa Jack....akiwemo Chibu Dangote na Jux Juma,Makochali,Chidi Mapenzi etc....[HASHTAG]#UkiachwaAchika[/HASHTAG] hii vita itawaathiri hata wasiohusika
Shamsa Ford akasirika mumewe Bw. Chidi Mapenzi kutajwa