Hata mimi nashangaa mkuu, hivi harmonize anaweza kutoa ngoma bila mond kupitisha? Au anaweza kupata colabo bila mond?Narudia Tena diamond Ni taasisi sio tena msanii huwezi kumfananisha na kiba, harmonise,vanny au yeyote yule bongo.. Harmonise Ni msanii bado hawezi kushindana na taasisi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kwenye maisha ya sasa ujinga ndo kitu kitakachochukua mda kukinaisha...Huo ujinga umechosha na kukinaisha. Sio kama zamani
Mambo anavyofanya diamond keshafanya zamani sanaaa tena kwa marefu na mapanaHata mimi nashangaa mkuu, hivi harmonize anaweza kutoa ngoma bila mond kupitisha? Au anaweza kupata colabo bila mond?
Unamzungumzia huyo,mjama ambaye ndani ya Mwaka Huu Anakufa?Kuna kitu hamjajua kuhusu diamond.Diamond Ana mikakati mingi sana kuanzia uimbaji wake,collaboration zake, wanawake anaotembea nao,show zake yaani vitu vingi anavyofanya anafanya kwa sababu flani vingine Ni vya kipuuzi kabisa machoni pa watu lakini Mwisho wa siku vina faida kwake.
Harmonise anapita njia za diamond lakini bado ameshindwa kufika pale na hatafika etiii..
Ogopa sana mtu anayezungumziwa tumeona nguvu ya kuzungumziwa kwa Pierre likwidi.
Simba kila sehemu lazima umzungumzie kuanzia baba ake, watoto wake,ex zake,label yake,TV,radio,mama ake,mziki wake,scandal zake,wasanii wake,collabo zake,ujinga wake...saivi project mpya ya kijinga Ni kuhakikisha kuna vita kubwa ya maneno kwenye social network Kati ya uganda,tz na Kenya kuhusu mademu zake .....huu ujinga wote ndo unamfanya awe pale Sasa harmonise Ana ujinga gani???hivi mnajua kwanini tamthilia zipo so addictive??????
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi naona sio Harmonize naona Vanny akijitambua ni tishio zaidi ila ana nidhamu sana kwa Boss wake
Unamzungumzia huyo,mjama ambaye ndani ya Mwaka Huu Anakufa?
hHHHa u can't be serious
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Diamond ambae hata asipotoa wimbo haishi kuzungumziwa kila kona ndio wa kumfananisha na Harmonize
Sio upande wa diamond.Sasa kwenye maisha ya sasa ujinga ndo kitu kitakachochukua mda kukinaisha...
Wote tunajua saivi social networking wenye page za upuuzi ndo Wana followers kuliko ht baadhi ya wasanii...
Hii Ni zama ambayo hatakukemea ujinga unaonekana mshamba umeona wapi huko YouTube vitu vya maana vika trends??
Sent using Jamii Forums mobile app
Asha wazidi mbona toka zamani kiba 100 sasa ndo kazidiwa haswaaaa.. kondboy yuko poa
Sent using Jamii Forums mobile app
sindio hapo sasaAmzidi mara ngapi sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
na mimi nimewaza hivyohivyoharmonize yuko poa sana ila yule raymond wa nzovwe mbeya ajiangalie
Sahihi kabisa,umaarufu ni sawa na harufu.Walikuwepo kina britney spears waliwikaa na si kwamba ni uzee ndo umepatoa kwenye chart No,kuna kipindi umashuhuri unaishaa.