Harmonize Anapoelekea Atamzidi Ubora DiamondPlatnumz

Harmonize Anapoelekea Atamzidi Ubora DiamondPlatnumz

Narudia Tena diamond Ni taasisi sio tena msanii huwezi kumfananisha na kiba, harmonise,vanny au yeyote yule bongo.. Harmonise Ni msanii bado hawezi kushindana na taasisi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi nashangaa mkuu, hivi harmonize anaweza kutoa ngoma bila mond kupitisha? Au anaweza kupata colabo bila mond?
 
Huyu Diamond ambae hata asipotoa wimbo haishi kuzungumziwa kila kona ndio wa kumfananisha na Harmonize
 
Huo ujinga umechosha na kukinaisha. Sio kama zamani
Sasa kwenye maisha ya sasa ujinga ndo kitu kitakachochukua mda kukinaisha...

Wote tunajua saivi social networking wenye page za upuuzi ndo Wana followers kuliko ht baadhi ya wasanii...

Hii Ni zama ambayo hatakukemea ujinga unaonekana mshamba umeona wapi huko YouTube vitu vya maana vika trends??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kitu hamjajua kuhusu diamond.Diamond Ana mikakati mingi sana kuanzia uimbaji wake,collaboration zake, wanawake anaotembea nao,show zake yaani vitu vingi anavyofanya anafanya kwa sababu flani vingine Ni vya kipuuzi kabisa machoni pa watu lakini Mwisho wa siku vina faida kwake.

Harmonise anapita njia za diamond lakini bado ameshindwa kufika pale na hatafika etiii..

Ogopa sana mtu anayezungumziwa tumeona nguvu ya kuzungumziwa kwa Pierre likwidi.

Simba kila sehemu lazima umzungumzie kuanzia baba ake, watoto wake,ex zake,label yake,TV,radio,mama ake,mziki wake,scandal zake,wasanii wake,collabo zake,ujinga wake...saivi project mpya ya kijinga Ni kuhakikisha kuna vita kubwa ya maneno kwenye social network Kati ya uganda,tz na Kenya kuhusu mademu zake .....huu ujinga wote ndo unamfanya awe pale Sasa harmonise Ana ujinga gani???hivi mnajua kwanini tamthilia zipo so addictive??????

Sent using Jamii Forums mobile app
Unamzungumzia huyo,mjama ambaye ndani ya Mwaka Huu Anakufa?

hHHHa u can't be serious

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kwenye maisha ya sasa ujinga ndo kitu kitakachochukua mda kukinaisha...

Wote tunajua saivi social networking wenye page za upuuzi ndo Wana followers kuliko ht baadhi ya wasanii...

Hii Ni zama ambayo hatakukemea ujinga unaonekana mshamba umeona wapi huko YouTube vitu vya maana vika trends??

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio upande wa diamond.
 
Back
Top Bottom