Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,589
- 35,268
Mwanaume kamili haogopi vita , tuna slogan yetu , get rich or die trying , mara nying sasa kumekuwa na hali ya kumshindanisha Harmonize na Nguli wa bongo Fleva Diamond Platnumz , na hii inachagizwa na kauli za Harmonize kuonyesha vinasaba vya kukubali
kushindanishwa huko.
,Hvi karbun Ibra alitoa wimbo akimshirikisha boss wake konde boy na wimbo ukawekwa Kwenye channel ya konde boy YouTube.
Diamond aliachia wimbo wa zuchu uitwao nisamehe kupitia channel ya zuchu ,
wimbo uliikimbiza channel ya harmonize mpak kufika number one trending....
masaa machache diaomond akaachia wimbo wa quarantine ambao uliburst world-wide na kukaa number one trending ndan ya masaa.
hivyo kuishusha Ngoma ya harmonize na ibra from number one to number three...
konde boy alipiga moyo konde na kuachia kichupa kikali Sana , fall in love ,
Target ikiwa ni kuitoa quarantine number one trending, lakn mambo yameenda ndivyo sivyo ,
Mafanikio makubwa ya fall in love imekuwa kufikia number 2 YouTube trending
Nafkr Harmonize inatakiwa ajue sasa Mond akitoa jiwe inabd asubir Kwanza lipoe .....
kushindanishwa huko.
,Hvi karbun Ibra alitoa wimbo akimshirikisha boss wake konde boy na wimbo ukawekwa Kwenye channel ya konde boy YouTube.
Diamond aliachia wimbo wa zuchu uitwao nisamehe kupitia channel ya zuchu ,
wimbo uliikimbiza channel ya harmonize mpak kufika number one trending....
masaa machache diaomond akaachia wimbo wa quarantine ambao uliburst world-wide na kukaa number one trending ndan ya masaa.
hivyo kuishusha Ngoma ya harmonize na ibra from number one to number three...
konde boy alipiga moyo konde na kuachia kichupa kikali Sana , fall in love ,
Target ikiwa ni kuitoa quarantine number one trending, lakn mambo yameenda ndivyo sivyo ,
Mafanikio makubwa ya fall in love imekuwa kufikia number 2 YouTube trending
Nafkr Harmonize inatakiwa ajue sasa Mond akitoa jiwe inabd asubir Kwanza lipoe .....