Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
OhMalipo hayatokani na ulichoingiza bali binding contract mliyosainiana, mkataba wa Konge gang unasema msanii akivunja mkataba anailipa label shilingi bilioni moja na label ikivunja mkataba inamlipa msanii shilingi milioni kumi regardless.
Sasa hapo label imevunja mkataba hivyo inapaswa kuwalipa wasanii hizo milioni kumi kwa kila msanii, nothing more nothing less.
Mkataba unasemajeHawa madogo waliondoka kwa ali kiba hawakulipa chochote leo hii wanataka wamkomboe mmakonde wa watu
Mkataba unasemajeHawa madogo waliondoka kwa ali kiba hawakulipa chochote leo hii wanataka wamkomboe mmakonde wa watu
MikatabaHawa madogo waliondoka kwa ali kiba hawakulipa chochote leo hii wanataka wamkomboe mmakonde wa watu
Anjella nae yupo BASATA kazi anayo.Labda ataibeba label kwenye mbeleko, ngoja tuone.
Yale mandinga yake na demu wake, yale ni hela tupu zile. Mchizi mkwanja anao. Awamalize tu madogo wakaendelee na maisha yao.Harmonize hela hana
Yale mandinga yako mikononi mwa serikali mpaka yatakapolipiwa ushuru,dogo matumizi yamezidi mapato.Yale mandinga yake na demu wake, yale ni hela tupu zile. Mchizi mkwanja anao. Awamalize tu madogo wakaendelee na maisha yao.