Harmonize atoa ngoma ya kwanza tokea ajiengue WASAFI. Ashindwa kufikisha views 100K ndani ya masaa 10

Harmonize atoa ngoma ya kwanza tokea ajiengue WASAFI. Ashindwa kufikisha views 100K ndani ya masaa 10

Sio wimbo ni nyimbo na ni ya harmonize yupo na eddy kenzo Go to sleep eboooooh
Utakuwa under 18 wewe na hujamaliza hata la saba maana hata kilaza wa darasa la saba anajua kutofautisha wimbo (umoja) na nyimbo (wingi)
 
Msanii Harmonize aka Konde Boy ametoa ngoma mpya akiwa na Eddy Kenzo kutoka Uganda inayoitwa 'Inabana'. Ikumbukwe hii ngoma yake ya kwanza tokea akiwa msanii Solo, hivyo kionjo cha Wasafi kama ilivyozeoeleka hakipo, kinasikika kionjo cha Dully Sykes 'ooh nice, This is Serious'. Pia video amefanya kwa Hanscana.

Video mpaka sasa tokea iwekwe ina masaa 10 na imetazamwa mara 65,000 (65K)

Mimi nimependa hapa ' ....Fundi kakosea kuishona, hata kichwa hakiezi ingia ...INABANA...🎤🎼🎹🎶

Angalia kichupa hapa



wimbo wa wcb huu, aliutoa audio kwanza
 
Ukiona hivyo ujue Diamond ashamroga
 
So muda ataanza sema analogwa...

Anyway.. No fighting.

Twamtakia kila lenye heri.
 
Noma kweli.
 

Attachments

  • ed.png
    ed.png
    61.2 KB · Views: 21
Msanii Harmonize aka Konde Boy ametoa ngoma mpya akiwa na Eddy Kenzo kutoka Uganda inayoitwa 'Inabana'. Ikumbukwe hii ngoma yake ya kwanza tokea akiwa msanii Solo, hivyo kionjo cha Wasafi kama ilivyozeoeleka hakipo, kinasikika kionjo cha Dully Sykes 'ooh nice, This is Serious'. Pia video amefanya kwa Hanscana.

Video mpaka sasa tokea iwekwe ina masaa 10 na imetazamwa mara 65,000 (65K)

Mimi nimependa hapa ' ....Fundi kakosea kuishona, hata kichwa hakiezi ingia ...INABANA...🎤🎼🎹🎶

Angalia kichupa hapa


kwaiyo unataka tumuongezee views...... apambane na hali yake
 
Bora yeye hatukani wanawake kisa kupata views.
Umesikiliza kweli nyimbo?
Inabana maana yake nini?
.
Wewe uCCM umekuharibu sana weka mate nitelezeee
Nick minaj mbona anatukana sana Card B my queen mbona anatukana sana au hujuagi lugha ya Queen?
 
Msanii Harmonize aka Konde Boy ametoa ngoma mpya akiwa na Eddy Kenzo kutoka Uganda inayoitwa 'Inabana'. Ikumbukwe hii ngoma yake ya kwanza tokea akiwa msanii Solo, hivyo kionjo cha Wasafi kama ilivyozeoeleka hakipo, kinasikika kionjo cha Dully Sykes 'ooh nice, This is Serious'. Pia video amefanya kwa Hanscana.

Video mpaka sasa tokea iwekwe ina masaa 10 na imetazamwa mara 65,000 (65K)

Mimi nimependa hapa ' ....Fundi kakosea kuishona, hata kichwa hakiezi ingia ...INABANA...[emoji441][emoji443][emoji446][emoji445]

Angalia kichupa hapa

Huo mstari uliondika,inamaanisha yale yalee tuuu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].Inama inuka,niingize,panua,teleza sijui.
Pppuuuuuuuh
 
Apambane....atafanikiwa tuu.

Mafanikio ya konde boy wala hayazuii ya wcb and vice versa.
 
Back
Top Bottom