Idiot Embicile
JF-Expert Member
- Apr 30, 2019
- 1,037
- 1,974
Utakuwa under 18 wewe na hujamaliza hata la saba maana hata kilaza wa darasa la saba anajua kutofautisha wimbo (umoja) na nyimbo (wingi)Sio wimbo ni nyimbo na ni ya harmonize yupo na eddy kenzo Go to sleep eboooooh
Msanii Harmonize aka Konde Boy ametoa ngoma mpya akiwa na Eddy Kenzo kutoka Uganda inayoitwa 'Inabana'. Ikumbukwe hii ngoma yake ya kwanza tokea akiwa msanii Solo, hivyo kionjo cha Wasafi kama ilivyozeoeleka hakipo, kinasikika kionjo cha Dully Sykes 'ooh nice, This is Serious'. Pia video amefanya kwa Hanscana.
Video mpaka sasa tokea iwekwe ina masaa 10 na imetazamwa mara 65,000 (65K)
Mimi nimependa hapa ' ....Fundi kakosea kuishona, hata kichwa hakiezi ingia ...INABANA...🎤🎼🎹🎶
Angalia kichupa hapa
kwaiyo unataka tumuongezee views...... apambane na hali yakeMsanii Harmonize aka Konde Boy ametoa ngoma mpya akiwa na Eddy Kenzo kutoka Uganda inayoitwa 'Inabana'. Ikumbukwe hii ngoma yake ya kwanza tokea akiwa msanii Solo, hivyo kionjo cha Wasafi kama ilivyozeoeleka hakipo, kinasikika kionjo cha Dully Sykes 'ooh nice, This is Serious'. Pia video amefanya kwa Hanscana.
Video mpaka sasa tokea iwekwe ina masaa 10 na imetazamwa mara 65,000 (65K)
Mimi nimependa hapa ' ....Fundi kakosea kuishona, hata kichwa hakiezi ingia ...INABANA...🎤🎼🎹🎶
Angalia kichupa hapa
Umesikiliza kweli nyimbo?Bora yeye hatukani wanawake kisa kupata views.
Au Kiba, wote hao wanatoka kuleee.Ukiona hivyo ujue Diamond ashamroga
Haina shida.nasubir mida hiyo ya kulala nije nikukojoleeeKakojoe ukalale ebooooooh
Wimbo= mmojaSio wimbo ni nyimbo na ni ya harmonize yupo na eddy kenzo Go to sleep eboooooh
Huo mstari uliondika,inamaanisha yale yalee tuuu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].Inama inuka,niingize,panua,teleza sijui.Msanii Harmonize aka Konde Boy ametoa ngoma mpya akiwa na Eddy Kenzo kutoka Uganda inayoitwa 'Inabana'. Ikumbukwe hii ngoma yake ya kwanza tokea akiwa msanii Solo, hivyo kionjo cha Wasafi kama ilivyozeoeleka hakipo, kinasikika kionjo cha Dully Sykes 'ooh nice, This is Serious'. Pia video amefanya kwa Hanscana.
Video mpaka sasa tokea iwekwe ina masaa 10 na imetazamwa mara 65,000 (65K)
Mimi nimependa hapa ' ....Fundi kakosea kuishona, hata kichwa hakiezi ingia ...INABANA...[emoji441][emoji443][emoji446][emoji445]
Angalia kichupa hapa
1. Kila safari ni hatua, namtakia kila la kheri kwenye safari yake ya muziki
Mzee we ndio umechamba hapa..ni wimbo na sio nyimbo..nyimbo ni nyingi wimbo ni mmoja..go to sleep ebooooohhhSio wimbo ni nyimbo na ni ya harmonize yupo na eddy kenzo Go to sleep eboooooh