Harmonize awakera Wakenya, afanya interview na wanahabari kwa dakika 3

"Waandishi wa Kenya nao washaanza kugeuka kuwa mabeberu...", alisikika mlevi mmoja akibwatuka
 
Rose is a has been. Hakuna namna atafit kwenye gospel ya sasa. So ni mnamhifadhi a has been na hajafukuzwa Tz.
 
Bro relux, these are just YoungStars. Wakikua wataacha. Don't take them seriously. Au wewe huna watoto wa umri huo uliowalea.
Yaani kimtu cha 1994 ni kitoto? Aisee
He's full of himself. Akija Kenya anataka kuongea kiingereza tu ambacho hakifahamu vizuri. Anafaa kumshukuru Sarah kwa kumfundisha.
The dunderhead is talented tho'
Love his songs MATATIZO & SHOW ME ft Mavoko
 
Dah! Na vile nilikua nimeanza kumkubali huyu dogo dhidi ya Diamond, yaani yeye ndiye amekua habari ya mjini ameshawapita akina Mondi na Kiba, ameanza kuharibika mapema, angesubiri aogelee kwenye misifa walau hata kwa mwaka mmoja.
Au wanahabari wa Kenya walimbabaisha kwa kingereza, unajua pia kingereza huwatesa sana Watz wanaishia ze ze ze...nakumbuka Diamond akihojiwa sehemu kwa kingereza, jamaa aliteseka sana. Ndio matatizo ya hawa madogo wa Tandale, wanatoka kimzuki na kuuaga umaskini ila sasa wanakosa mtu wa kuwaongoza jinsi gani ya kuhusiana na watu.
 
Dakika kadhaa zilizopita baada ya kutoka katika " interview" na waandishi habari ambako aliwadharau, alienda katika kipindi cha TV cha 10 over 10, wakenya walijazana sana. Wakenya hata iweje, hawana ujanja mbele ya Bongo flavor, zaidi ya kulalamika.
 
Ukiwa unacomment jaribu kushirikisha ubongo angalau hata kwa asilimia kadhaa,
Hivi Unafahamu ni nini kilimkumba rose?
Tafuta interview aliyoifanya juzi kati na clouds sio kutumia makwapa hapa kufikiria.
 
Uzuri wa mwanaume ni pesa boy

Alafu mungu anaumba kwa jinsi anavyotaka yeye
Mm na ww hatujui tutazaa watoto wenye sura gani,,
Huyu msani sura mbaya kama kiatu ndio anaringa...
 
Ten over ten tena?
Last time ...'How do you feeling tonight.. Drop that shieeet..!
 
Yaani kimtu cha 1994 ni kitoto? Aisee
He's full of himself. Akija Kenya anataka kuongea kiingereza tu ambacho hakifahamu vizuri. Anafaa kumshukuru Sarah kwa kumfundisha.
The dunderhead is talented tho'
Love his songs MATATIZO & SHOW ME ft Mavoko
Hivi huyo Sarah si Muitaliano? Waitaliano wanaoongea English?
 
Yaani kimtu cha 1994 ni kitoto? Aisee
He's full of himself. Akija Kenya anataka kuongea kiingereza tu ambacho hakifahamu vizuri. Anafaa kumshukuru Sarah kwa kumfundisha.
The dunderhead is talented tho'
Love his songs MATATIZO & SHOW ME ft Mavoko
Amshukuru kwa kumfundisha lugha ya wakoloni waliotunyanyasa?, katika wasanii ninaowadharau ni " Harmonize" kwa tabia yake ya kupenda kuzungumza kiingereza kila wakati, ninawapenda sana, Aslay, Mboso na Rayvan, hata Diamond katika hili.
 
Tafuta interview aliyofanya juzi exclusive na clouds media, anayo iq kubwa sana
 
Katika trending YouTube videos kwa upande wa kenya, nyimbo mpya ya Harmonize naona ipo trending namba 1 πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Sasa ndio mumshauri akianza kupokewa na Wakenya asije akaharibu, sisi ndio tumewatengeneza wasanii wenu wote, hakuna msanii wenu yeyote aliyafaulu kuuaga huo umaskini wenu bila kunyanyuliwa na Wakenya, hivyo ashauriwe jinsi gani ya kuhusiana na watu, asahau Utandale na Umbagalla aanze kuwa na tabia za watu wa Oyster Bay na Masaki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…