GODZILLA
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 5,909
- 10,542
Pamoja na hicho Kiingereza chenu cha ugoko lakini bado mzungu anawaita "nyani".Yaani kimtu cha 1994 ni kitoto? Aisee
He's full of himself. Akija Kenya anataka kuongea kiingereza tu ambacho hakifahamu vizuri. Anafaa kumshukuru Sarah kwa kumfundisha.
The dunderhead is talented tho'
Love his songs MATATIZO & SHOW ME ft Mavoko
Vile mnavojing'ang'aniza kuongea ung'eng'e huku mzungu anawachora kwa mbali anasema "hiiiiiiiiii......ona hao nyani waliostaarabika".