Mbolabilika
JF-Expert Member
- Jul 30, 2019
- 2,128
- 2,867
Hamkatazwi, ila mumelelewa kwenye mfumo wa ujamaa ambao umewadumaza kiakili, huwa hamna uwezo wa kujiongeza.
Huo ujamaa ndio uliowafanya wasanii watoboe kwa mfumo wa kusaidianaHamkatazwi, ila mumelelewa kwenye mfumo wa ujamaa ambao umewadumaza kiakili, huwa hamna uwezo wa kujiongeza.
Hamkatazwi, ila mumelelewa kwenye mfumo wa ujamaa ambao umewadumaza kiakili, huwa hamna uwezo wa kujiongeza.
Acheni kuwafatilia muone kama watalala njaaSasa ndio mumshauri akianza kupokewa na Wakenya asije akaharibu, sisi ndio tumewatengeneza wasanii wenu wote, hakuna msanii wenu yeyote aliyafaulu kuuaga huo umaskini wenu bila kunyanyuliwa na Wakenya, hivyo ashauriwe jinsi gani ya kuhusiana na watu, asahau Utandale na Umbagalla aanze kuwa na tabia za watu wa Oyster Bay na Masaki.
Watu wanashindwa kuelewa kitu kimo ,unajua TZ watu wanapenda burudani ndio maana siku zote mashabiki ndio waamuzi sio music, sio mpira. Hata kiushabiki wa mpira ktk EAC TZ namba 1 huwezi kushindanisha na nchi yeyote kwa hapa EAC.Kila mtu anakosea huwezi kuwa right all the time
Sawa ninyi mlolelewa kwenye mfumo wa kibeberu mnazo akili mpaka wasanii wenu wanajulikana bongo
Acheni kuwafatilia muone kama watalala njaa
Wakenya kwa husda hamjambo
Sasa unalia lia niniTunawafuata kwa sababu wanajituma, sisi ndivyo tulivyo, tunapenda kitu kwa ubora wake hatuendeshwi kikondoo kondoo na kuelekezwa elekezwa.
Hehehe naona umepapatika hadi unani-quote mara kumi kwa mpigo, ila ndio hali yenyewe na ukweli ambao huna uwezo wala haiba ya kuukubali.
Radha ya nyimbo zenu mbayaaa ndio maana mumekubali kuwa mateka wa bongo hebu zikiliza vitu vya bongo hivyo sio nyimbo zenu zimepooza kama mate ya asubuhiTunawafuata kwa sababu wanajituma, sisi ndivyo tulivyo, tunapenda kitu kwa ubora wake hatuendeshwi kikondoo kondoo na kuelekezwa elekezwa.
Msanii yeyote awe wa Kenya ,Uganda Congo akitaka atoke lazima mziki wake aje kufanyia bongo kwanza harafu ubora wa nyimbo utafata ila wakifanya huko kwao watapata tabu sana ,au wakifanya kwao bc wamtafute msanii wa TZ bc nyimbo yake itajulikana EAC hapo ndipo utaona watu wanateseka kwanini TANZANIA HAHAHAHAHATunawafuata kwa sababu wanajituma, sisi ndivyo tulivyo, tunapenda kitu kwa ubora wake hatuendeshwi kikondoo kondoo na kuelekezwa elekezwa.
Hii hit song ni hatariRadha ya nyimbo zenu mbayaaa ndio maana mumekubali kuwa mateka wa bongo hebu zikiliza vitu vya bongo hivyo sio nyimbo zenu zimepooza kama mate ya asubuhi
'Shobo' ni neno la Kisukuma pia!Lugha yako ni kisukuma baba..wacha shobo na kiswahili...
'Shobo' ni neno la Kisukuma pia!
Hivi unavyojua Bongo fleva ni mziki wa nchi gani?
Hii hit song ni hatari
Elewa kwnza nilichokiandiaka halafu ndipo uanze maswali yako yasiokua na tija
Wacha hiyoo.... Baati yake. Tatizo ni MG wake DrJembe.. alimshawishi juondoka WCB. Ndiye anaye mshauriDogo kaishia class 7,. kaka mtaani zaidi ya 15 years, hana udogo