Harmonize awakera Wakenya, afanya interview na wanahabari kwa dakika 3

Ana nini? Hana kitu, heshima anayopata kwa Sasa NI zile alizokuwa nazo WCB. MG wake wa Sasa ndiye anaye mwaribu. Eti brand
 
Aisee,kuna nchi watu wanapigana vikumbo kumuhoji mayonaise?
Hivi anaimba nini kwanza huyu mtu?
 
Afro east ni nn?
Alijibu vile yeye kama msanii anategengeneza biashara nchi zote awezi kusema afro bongo sababu mungeanza kulia lia ooo mbinafsi tunawateka kwa kutumia akili tunasema hii afro east lakin ukiimbia kinya utambuliki mpaka ushirikishe TZ kila kitu ukifanya unatumia ubongo sio unakurupuka tu ndio maana ikaitwa bongo maana yake uchemshe bongo lako hilo ili uweze kuishi
 
Mbna wanigeria hawasemi afro west..
 
Bullshit
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…