komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Afro east ni nn?
Usione shida kujibu kama roho inauma jibu tu hata wa Kenya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usione shida kujibu kama roho inauma jibu tu hata wa Kenya
Ana nini? Hana kitu, heshima anayopata kwa Sasa NI zile alizokuwa nazo WCB. MG wake wa Sasa ndiye anaye mwaribu. Eti brandDah! Na vile nilikua nimeanza kumkubali huyu dogo dhidi ya Diamond, yaani yeye ndiye amekua habari ya mjini ameshawapita akina Mondi na Kiba, ameanza kuharibika mapema, angesubiri aogelee kwenye misifa walau hata kwa mwaka mmoja.
Au wanahabari wa Kenya walimbabaisha kwa kingereza, unajua pia kingereza huwatesa sana Watz wanaishia ze ze ze...nakumbuka Diamond akihojiwa sehemu kwa kingereza, jamaa aliteseka sana. Ndio matatizo ya hawa madogo wa Tandale, wanatoka kimzuki na kuuaga umaskini ila sasa wanakosa mtu wa kuwaongoza jinsi gani ya kuhusiana na watu.
Alijibu vile yeye kama msanii anategengeneza biashara nchi zote awezi kusema afro bongo sababu mungeanza kulia lia ooo mbinafsi tunawateka kwa kutumia akili tunasema hii afro east lakin ukiimbia kinya utambuliki mpaka ushirikishe TZ kila kitu ukifanya unatumia ubongo sio unakurupuka tu ndio maana ikaitwa bongo maana yake uchemshe bongo lako hilo ili uweze kuishiAfro east ni nn?
Alijibu vile yeye kama msanii anategengeneza biashara nchi zote awezi kusema afro bongo sababu mungeanza kulia lia ooo mbinafsi tunawateka kwa kutumia akili tunasema hii afro east lakin ukiimbia kinya utambuliki mpaka ushirikishe TZ kila kitu ukifanya unatumia ubongo sio unakurupuka tu ndio maana ikaitwa bongo maana yake uchemshe bongo lako hilo ili uweze kuishi
lakini huenda akatoboa tu, maisha popoteWacha hiyoo.... Baati yake. Tatizo ni MG wake DrJembe.. alimshawishi juondoka WCB. Ndiye anaye mshauri
BullshitKikaragosi ambacho hakina akili. Hakina be wala te lakini kinatoka Ldc kinakuja middle income kutuonyesha madharau? Kwani yeye ndio nani? Tumeona wengi wakija kwa moto na kupotea. Muulize Mr. Nice alivyokuja kwa moto sasa hivi hayupo tena. Heshima na unyenyekevu ni vitu vya maana sana. Rose Muhando ni sisi tunamuhifadhi huku baada ya kufukuzwa kama mbwa na Watanzania wenzake. Sisi tunampenda na kumhufadhi Rose bila bugdha.