kwani boss hili la mentali lingekuangukia wewe ungeliacha?ongea tu ukweli na mungu anakuona.Madogo wanapenda vya mtelemko jamaa analelewa tu hata boss wao kamtumia zali
Anaishi Dar mkuu
Eti anaonyesha visi 6 pack. etiJikoni pazuri ila huyo mpishi anaonekana hana maadili na majiko ya kisasa , haikuwa na maana kuwa nusu uchi kuingia jikoni hata kama ni kwako. Jisitiri hata kwa Vest au apron basi !!!
Am out ni kaushauri tu..
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona wanagombana jikoni?
kwani boss hili la mentali lingekuangukia wewe ungeliacha?ongea tu ukweli na mungu anakuona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ata hayuko romantic kwa mschana wake
Anaongea kama anaongea na mshkaj wake wa kijiwen
Mwl duu hii statement ina fikirisha sana duuuuuumwanaume akiwa hana akili anakuwa kama anatembea uchi!
Wa mkoani huyoWanaume wa dar wanamambo!