Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha.Kupika tu kama anajiandaa na ngumi,yani yupo high high
Na kufungulie meno hiyo vepeee!
Ushamba bhana...
Hahaha.
Ujue na mini nineangalia hata sijamaliza, kuona kufungulia meno nikaona ushamba gani huu?
Nikajua labda ni mimi tu, kwa wengine inakubalika.
Kumbe hata wewe umeona kufungulia meno ushamba?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]alafu harmo anakishuzi kuliko bidadaKupika tu kama anajiandaa na ngumi,yani yupo high high
Na kufungulie meno hiyo vepeee!
Ushamba bhana...
Hahahahhhah mi simo[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]alafu harmo anakishuzi kuliko bidada