Harmonize azomewa baada ya kuwaita Wakenya maskini kwenye Wasafi Festival Nairobi

Unaelewa VVIP ni nini? Umefika kwenye show yoyote Kenya au huwa unahadithiwa tu? Kenya vitu kama hivyo huwa havifanywi kishamba shamba. Watu huwa wanalipa wakijua kwamba viwango ni international. Russel Peters, stand-up comedian kutoka Canada alifika Kenya na regular tu ilikuwa ni 15,000 KES na ticket ziliuzwa zote.
 
Acha ujinga wewe, Rick Ross alikua hapo na kiingilio cha juu kabisa nilikua 9,000. Kinachofanya kuwepo na kiingilio kikubwa sio msaani pekee, ni sehemu ambapo hiyo shoo inafanyika, huwezi kufanya show hapo Uhuru pack, ambapo hata meza ya kukaa hakuna, eti uite VVIP.

Ninyi wakenya ni washamba sana, na kikubwa kinachowasumbua ni kumbenda kuishi juu ya uwezo wenu wa maisha. Hakuna mtu yoyote mwenye akili timamu anayeweza kuhudhuria Wasafi Festival kwa 15,000, wasafi festivals ni kwaajili ya vijana wenye kipato cha chini kabisa, ni sehemu ya fujo sana, sio rahisi hata kwenda na familia yako na ukafurahia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haha lenga hawa watu
Kwao shows huwa Tsh10,000.
Unaeza sema ni events za high school students.
 
Unaongea kuhusu kitu ambacho hukifahamu kwa hivyo sitabisha.
 
Haha lenga hawa watu
Kwao shows huwa Tsh10,000.
Unaeza sema ni events za high school students.
Haha! πŸ˜€ Ndio maana Nairobi ndio mji mkuu ukanda huu wote ikifika kwenye entertainment industry.
 
Una kiswahili kizuri, wewe ni mkenya kweli?😳😳😳😳
Huyu "nyang'au" amekaa sana bongo.
Usione anavyoiponda Tanzania humu jamvini, maisha yake asilimia zaidi ya 60 ni bongoland.
 
Hawa wasanii wa Wasafi wametajirishwa na Kenya.
Show zao Kenya huwa Sh2000 ilhali Tanzania ni Sh500.

Lakini sasa wameanza dharau. Live performances zimeboeka.
Wakiendelea hivi, ngoma zao tutabaki tu kuzionea YouTube.
 
Poor communication skills,artist wenu wajifunze kuzungumza na hadhira,mbali ya kuwaburudisha,kuna kauli zinaweza kugawa watu,kuudhi,kudharaulika mzungumzaji n.k
Elimu,Elimu,Elimu_ENL

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa wasanii wa Wasafi wametajirishwa na Kenya.
Show zao Kenya huwa Sh2000 ilhali Tanzania ni Sh500.

Lakini sasa wameanza dharau. Live performances zimeboeka.
Wakiendelea hivi, ngoma zao tutabaki tu kuzionea YouTube.
Hahahahaha mshindwe kutajirisha wasanii wenu kwanza, mtawezaje kutajirisha majirani zenu kama sio ulimbukeni na ushamba?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu "nyang'au" amekaa sana bongo.
Usione anavyoiponda Tanzania humu jamvini, maisha yake asilimia zaidi ya 60 ni bongoland.
Kwa sababu gani? Kuijua kiswahili kwa ufasaha?

Yaani hata mKenya kuijua Kiswahili ni chanzo cha wivu na kejeli? Sio nyinyi mnaotaka kiswahili kisambae na kitambulike kanda hizi za Africa?

Iweje tena waKenya kuitambua kiswahili iwe shida kwenu?

Mtanzagiza ni mtu wa kusikitisha sana.
 
Wewe umeelewa kilichotokea kwa asilimia zote. Kibongo bongo hiyo sentensi haina shida kabisa, ila kwa kenya na sehem zingine nyingi. Hiyo sentensi ina utata sana
 
"Kuijua kiswahili" ndio kitu gani hicho!?
Rudi darasani....mwambie nyang'au mwenzio MK254 akusugue ubongo uandike inavyotakiwa.
 
"Kuijua kiswahili" ndio kitu gani hicho!?
Rudi darasani....mwambie nyang'au mwenzio MK254 akusugue ubongo uandike inavyotakiwa.
Nitakujuza kwangu kiswahili siipi kipaumbele jinsi unavyofikiria. Hakuna mitihani [emoji23][emoji23].

Naitambua kiingereza, kifaransa, kiswahili, lugha ya mama, na sasa hivi nataka kuijua mandarin. Kiswahili najikaza nayo ili ng'ombe aina yako angalau mpate kuelewa na kuelimika.

Bado hujihurumii?[emoji23]
 
duu umeua πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…