Harmonize azomewa baada ya kuwaita Wakenya maskini kwenye Wasafi Festival Nairobi

duuh!! ebwana eehh
 
Elf 15 kwa tz ni hela ya bia one day so sio pesa mingi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.... This guy needs to learn humility
 
Alas [emoji1487][emoji1490][emoji1787][emoji23]
 

Ahaaa haaa haaa

unafahamu nchi tajiri wewe?
au umewahi ishi nchi tajiri wewe?

acheni KUONGEA story za mitaani.
 
We have different cultures , its important to maintain that line

Sent using Jamii Forums mobile app
They dont know what culture is,wanafaa wajue kuna kitu inaitwa culture na hauezi enda kwa nchi ya watu na kuwatusi na hao ndo wanakulisha,nikaa uende france then uwatusi na french yao,but namuelewa Harmonize kweli alienda shule,huku kenya wasanii wamesoma check out sauti sol na nyashinski so hadi reaaon yao diffrent sana nawahurumia that was their last show walifanya huku,coz sai things will change with the #december hakuna mambo na wasanii wa nje ni strictly kenyan artist kila msanii akae kwao tuone who will loose

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…