guwe_la_manga
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 2,820
- 2,758
AhahhahMi nahisi ni mbinu yakumfanya alikiba asiongelewe ongelewe.. maana bifu lake na Diamond lilimbeba sana
Hata miye nahisi hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AhahhahMi nahisi ni mbinu yakumfanya alikiba asiongelewe ongelewe.. maana bifu lake na Diamond lilimbeba sana
Ninyi ndio mpaka leo bado mnaamini 2 PAC hajafa !
Ahahaha,dah
hamna kitu kwa kutumia vigezo gani, fanya uchambuzi wa Album tuone wapi hamna kitubinafsi yangu.ile album" HAMNA KITU."
kelele za mashabiki zinambeba na upepo umekata
Sent using Jamii Forums mobile app
upepo tu Taji umemuangukia, na unajua Taji ana hadhi ya Corporate MCNaongeza
Host wa tukio la diamond kuhusu kuwa ambassador wa zile rangi alikuwa Taji
Host wa afro East alikuwa Taji
Sent using Jamii Forums mobile app
hamna kitu kwa kutumia vigezo gani, fanya uchambuzi wa Album tuone wapi hamna kitu
Na kama lilikuwa lengo basi limefanikiwaMi nahisi ni mbinu yakumfanya alikiba asiongelewe ongelewe.. maana bifu lake na Diamond lilimbeba sana
Umeongea kama kiba mwenyewe, sina uhakika kabisa kama bado kiba anajua gemu linaendaje hapa bongo. Niambie ngoma yake moja ambayo ni latest na ni kali
usiniseme kama napenda Kula usinisemeeee daaah hiz timu hizi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kijiji ni dunia! Ndio maana tunasema utandawazi umefanya dunia kuwa kijijianasepa na kijiji, kwanini asisepe na wilaya au mkoa..?
Bado sijaelewa yaani.Kijiji ni dunia! Ndio maana tunasema utandawazi umefanya dunia kuwa kijiji
Sent using Jamii Forums mobile app