kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,421
- 18,760
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba nyie waafrika hamuwezi kupeana support hadi aje mzungu. Kweli akili zenu zipo chini sanaHarmo alijipanga,halafu ana mzungu anayempa jeuri. Wale walimshindwa.
Mi nahisi ni mbinu yakumfanya alikiba asiongelewe ongelewe.. maana bifu lake na Diamond lilimbeba sana
Ninyi ndio mpaka leo bado mnaamini 2 PAC hajafa !
...hata na Majani!!!Huu ni mtazamo tu masela msijenge chuki
hujui yeye mpaka kaandika chanzo kilikuwa ni nini, si vyote anavyoandika ni vyake mawzo mengi hupewaPowa ...rudisha fadhila kwa yule jamaa wa Twitter hati miliki ni yake !!
Sent using Jamii Forums mobile app
huyo Chppo huwa anaoteshwa..? Chappo hupewa madini ndio anaenda kuwaandikia huko twitter, tuache kumpa sasa uone kama kuna atakachoandikaAnyway hizi story zipo sana huko Twitter ,but sijui nako huwa unaziandika wewe ama la?
Kabisa pongezi ziende Twitter kwa kina Chapo na wengineo
Harmonize si muimbaji vile aliimba pale Mlimani City ni dhahiri hana talanta kizungu kibovuHisia zangu zinaniambia Harmonize bado yuko mikononi mwa Diamond ila Umma tunaaminishwa katoka ni game well played ila kuwin kibiashara.
Hebu tuone hili, hapo awali Harmonize alipokuwa anatoka Wasafi maneno mengi yalizungumzwa na mameneja wa Diamond, Babu Tale na Sallam SK, Ila Diamond hakuwa mzungumzaji sana, tunajua Wasafu ni watu wa mikakati na hilo wanaliweza sana tu
Kwa nini Harmonize aondoke, Kakua..?, anaweza kujitegemea..?, Ila ni kwamba Harmonize ni Akaunti iliyokuwa inajitosheleza ili iingize kipato sasa kivipi akae na Diamond hapo hapo, Mikakati inaanza ili atoke akajitegemee faida irudi na Media zingine zianze kumsapoti pesa iingie Wasafi huku asilimia kubwa akichukua yeye
Diamond majuzi kasapoti kwa kuposti kava ya Album ya Harmonize kuaminisha mtoto hata akijisaidia huwezi kata mkono, ila kibiashara streaming na dowloads zitaongezeka pesa itakuja nyumbani why nisiposti wakati nina wafuasi wengi,
Media zingine hazichezi nyimbo zangu Diamond ila Dogo atachezwa atapata coverage na Endorsement zinajileta pesa itaingia na Air Wave majina yatakuwa ni Diamond and Harmonize na Hakuna mwingine wakuturinganisha na sisi
Tuone hili,
Diamond- A boy from tandale imetoka tarehe 14/03/2018
Harmonize- Afro East imetoka tarehe 14/03/2020
Diamond A boy from Tandale ina nyimbo 18
Harmonize- Afro East ina nyimbo 18 .
Bado hamuamini Harmonize yupo chini ya Diamond?
Mapovu ruksa, Huu ni mtazamo tu masela msijenge chuki
sijakuelewa bado ulikuwa unataka kuchangia/kufikisha ujumbe ganiHarmonize si muimbaji vile aliimba pale Mlimani City ni dhahiri hana talanta kizungu kibovu
Diamond simfuatilii sana lakini bado ana uimbaji mzuri kuliko huyu mmakonde
Hapo kwenye collabo za international mwenyewe bado najiuliza ujueOngezea na international collabo alizofanya, nahisi ni link ya wa WCB pia.
Astaafu mziki atulizane!!..aulize yaliyomkuta mzee Yusuf.Ndio maana walijaribu kumweka karibu hamo na kiba... Lkn imeshindikana... Kiba ni mtu mzima anaelewa ila ndio ivo akili za michezo hana...
Astaafu tu mziki atulizane kwenye ibada...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwenye collabo za international mwenyewe bado najiuliza ujue
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo nalo lawezekana mwayaInawezekana alijua mapema kwamba atachomoka, kwa hiyo akawa anajitengenezea contacts humo humo. Kwamba akitoka atazitumia.
wote wapo chini ya watoto wa mjini wapiga dili TALE na MKUBWA FELAHisia zangu zinaniambia Harmonize bado yuko mikononi mwa Diamond ila Umma tunaaminishwa katoka ni game well played ila kuwin kibiashara.
Hebu tuone hili, hapo awali Harmonize alipokuwa anatoka Wasafi maneno mengi yalizungumzwa na mameneja wa Diamond, Babu Tale na Sallam SK, Ila Diamond hakuwa mzungumzaji sana, tunajua Wasafu ni watu wa mikakati na hilo wanaliweza sana tu
Kwa nini Harmonize aondoke, Kakua..?, anaweza kujitegemea..?, Ila ni kwamba Harmonize ni Akaunti iliyokuwa inajitosheleza ili iingize kipato sasa kivipi akae na Diamond hapo hapo, Mikakati inaanza ili atoke akajitegemee faida irudi na Media zingine zianze kumsapoti pesa iingie Wasafi huku asilimia kubwa akichukua yeye
Diamond majuzi kasapoti kwa kuposti kava ya Album ya Harmonize kuaminisha mtoto hata akijisaidia huwezi kata mkono, ila kibiashara streaming na dowloads zitaongezeka pesa itakuja nyumbani why nisiposti wakati nina wafuasi wengi,
Media zingine hazichezi nyimbo zangu Diamond ila Dogo atachezwa atapata coverage na Endorsement zinajileta pesa itaingia na Air Wave majina yatakuwa ni Diamond and Harmonize na Hakuna mwingine wakuturinganisha na sisi
Tuone hili,
Diamond- A boy from tandale imetoka tarehe 14/03/2018
Harmonize- Afro East imetoka tarehe 14/03/2020
Diamond A boy from Tandale ina nyimbo 18
Harmonize- Afro East ina nyimbo 18 .
Bado hamuamini Harmonize yupo chini ya Diamond?
Mapovu ruksa, Huu ni mtazamo tu masela msijenge chuki
NaongezaHisia zangu zinaniambia Harmonize bado yuko mikononi mwa Diamond ila Umma tunaaminishwa katoka ni game well played ila kuwin kibiashara.
Hebu tuone hili, hapo awali Harmonize alipokuwa anatoka Wasafi maneno mengi yalizungumzwa na mameneja wa Diamond, Babu Tale na Sallam SK, Ila Diamond hakuwa mzungumzaji sana, tunajua Wasafu ni watu wa mikakati na hilo wanaliweza sana tu
Kwa nini Harmonize aondoke, Kakua..?, anaweza kujitegemea..?, Ila ni kwamba Harmonize ni Akaunti iliyokuwa inajitosheleza ili iingize kipato sasa kivipi akae na Diamond hapo hapo, Mikakati inaanza ili atoke akajitegemee faida irudi na Media zingine zianze kumsapoti pesa iingie Wasafi huku asilimia kubwa akichukua yeye
Diamond majuzi kasapoti kwa kuposti kava ya Album ya Harmonize kuaminisha mtoto hata akijisaidia huwezi kata mkono, ila kibiashara streaming na dowloads zitaongezeka pesa itakuja nyumbani why nisiposti wakati nina wafuasi wengi,
Media zingine hazichezi nyimbo zangu Diamond ila Dogo atachezwa atapata coverage na Endorsement zinajileta pesa itaingia na Air Wave majina yatakuwa ni Diamond and Harmonize na Hakuna mwingine wakuturinganisha na sisi
Tuone hili,
Diamond- A boy from tandale imetoka tarehe 14/03/2018
Harmonize- Afro East imetoka tarehe 14/03/2020
Diamond A boy from Tandale ina nyimbo 18
Harmonize- Afro East ina nyimbo 18 .
Bado hamuamini Harmonize yupo chini ya Diamond?
Mapovu ruksa, Huu ni mtazamo tu masela msijenge chuki