Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afadhari darasa amejitutumua kwenye yumba
RushambuluSijaipenda
Siyo nzuri yaan sijaifurahia tu
Wala sina sababu, ishiiiiiii sasa sijaipenda tu kwani lazima
Sijaipenda
Ivi yule msukuma wa kwenye cheka show anaitwaga nani? Huwaga ananifurahisha sana huyo jamaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawezi kuacha kucopy copy Hana ubunifu.Wimbo ni mbaya hauna radha hauvutii kusikiliza mara mbili, nafikiri beat za Lizer zilimbeba sana.
Naiskia Mungu anakuona ya Ney kwa mbali na beat ya kingasti ya Lukas Mkenda aka Mr Nice.
Naupa 0.5/10 .
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna ka ukweli Fulani APA "beat za lizer zilimbeba"Wimbo ni mbaya hauna radha hauvutii kusikiliza mara mbili, nafikiri beat za Lizer zilimbeba sana.
Naiskia Mungu anakuona ya Ney kwa mbali na beat ya kingasti ya Lukas Mkenda aka Mr Nice.
Naupa 0.5/10 .
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba track ya mr.nice ? Au umemaanisha nn mkuu😀8.5/10..nice track
Acha kumbania kijana wetuWimbo ni mbaya hauna radha hauvutii kusikiliza mara mbili, nafikiri beat za Lizer zilimbeba sana.
Naiskia Mungu anakuona ya Ney kwa mbali na beat ya kingasti ya Lukas Mkenda aka Mr Nice.
Naupa 0.5/10 .
Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani kama Mondi atampa hiyo kiki anayoitafuta. Alibahatisha Ali K wengine walie tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi nyingine toka kwa hamo, Je unaipa alama ngapi kati ya 10?
Huyo sjui mond mnayemsifu hapa amefanya nini mwaka ulopita?
Yope si idea yake..
The1 kakopy.
Baba lao kakopy..
Sound ndio inshajifia..
Ukweli ni kwamba kibongo bongo tunawasanii dhaifu sana.. Swala la ubunifu ni Zerooo..
Waacheni wasanii dhaifu wapambane na udhifu wao.. Hoja za kusema sijui nani bora ni upuuuzi mtupu...
Ndio maana 99.9999% hawawezi imba na live band mwanzo mwishoo..
Hainistui Lyrics – Harmonizemwenye lyrics aweke hapa tuchambue
Tuweke source ya alipo copy kunogesha habari yako ..kama huna utakua mmoja ya wale wajinga wa King kaka
Sent using Jamii Forums mobile app