Harmonize hajafanya ubaya

Barnaba is a real thing [emoji171]thumb up!
 
Sure, umeongea point kubwa sana.

Naunga mkono hoja....
 
Shauri yenu. Mavoko Yuko wapi? Anajuta Sasa.
 
Ataweza mchezo wa Mombasa kweli!? Kiba na joho. Na tuhuma za Madawa ya kulevya. Serikali ya KENYA wanafuatilia
 
wewe haujui mzika ndiyo maana unaleta ujinga wako hapa barnaba mziki wa kusomea umlinganishe na harmonize pure talent itakuwa tezi dume inakuwasha barnaba level yake ni kina Bestnaso
Ndug kama umeshindwa kutoa hoja ni Bora ungepuuzia comment yangu ukapita kimya kimya, sasa mambo ya kutukanana yametoka wapi tena, wewe kama unaujua mziki kulikuwa hakuna haja ya kutukana, jarbu kuwa na busara na hekima
 
Harmonize hawezi tetereka bwana. Harmonize ndo the best kuliko hata Domo kwa sasa. Wangekuwa hawatowi nyimbo kwa kupangiwa yaani Harmo angeshampoteza kabisa Domo.
Sawa lakini timu ya Wasafi ni muhimu kwake ,mbona Barnabas ni mzuri sana lakini hana ukubwa
 
UTASIKIA KAANZISHA KONDE BOY CLASSIC BABY (KBCB) 😎
 

mkuu hiyo studio ya bib junior MD wake alikuwa Ali Kiba, aliyekuwa anatoa authorisation za nani arekodi ni ali kiba

sasa sijui nani anachekwa hapa!, unajua kuna kitu haukijui wengine wanakijua mkuu!

check again your information, Bob junior was in operation ndugu
 
wewe haujui mzika ndiyo maana unaleta ujinga wako hapa barnaba mziki wa kusomea umlinganishe na harmonize pure talent itakuwa tezi dume inakuwasha barnaba level yake ni kina Bestnaso
We jamaa unachekesha sana!! Serious unaamini Harmonize ni mkali kuliko Barnaba?! Yaani Harmonize huyu huyu ambae ni clone ya Diamond?!
 
Bele9 kati ya vijana wanaoniumiza sana kila naposikiliza kazi zake halaf naangalia mafaniko yake.Haviendan.Dogo ana uwez mkubwa sana lakin nashindwa kujua wp anakwama.
Nilisikitika zaid siku naenda zangu Tabora mwaka jna nimepanda basi Kisbo kufika moro Belle 9 kaingia alikua anaenda dodoma.!!nikaona duh..moro to dom kwel msanii anashindwa vipi ku drive ndinga ake??nikaona kwel sanaa kazi.
Vijaa wanaonekana wanapiga kaz lakin sijui pesa wanapeleka kwa nani..
 
Duuuh! hilo limenishangaza nilijua Belle 9 hana mafanikio ukilinganisha na uwezo wake.Lakini suala la yeye kupanda public transport sikulitarajia.

Lakini ndio mziki wenyewe.
 
Duuuh! hilo limenishangaza nilijua Belle 9 hana mafanikio ukilinganisha na uwezo wake.Lakini suala la yeye kupanda public transport sikulitarajia.

Lakini ndio mziki wenyewe.
Ndio hivyo mzee trust me.nilikaa nae sit moja sema sikumshobokea maana same day ubungo nilikua nimetoka kupigwa simu yangu mpyaaa...ahahahahhhhahaj
 
Ahaaaah Ali kiba huyo mzee wa miaka 40 umasema kamlea na kumkuza diamond come on dumpist!!!
 
Hivi we unatumia kigezo gani kuwa diamond alishakuwa chini ya kiba go to hell brother.
 
Harmo
Fans wake 90% ni wa wcb.
Style yake na flow zake ni copy kutoka kwa mond
Connection zote na international artist ametengenezewa
Bila kusahau harmo alijifanya front line kuwatukana clouds media

Zikifanyika fitna hatoboi coz hata kipaji chake ni cha kuunga unga
Uwez mfananisha
Hata na mavoko
Sema walimbrand sana kuprove watu wrong kwamba mzik n zaid ya kipaji
Kipnd anatoka
Ni rahis sana kwa vanny boy kujitegemea kimziki kuliko harmonize
Siku zikienda mtaelewa
 
Hao wa tz wananyonywa sana....
 
Kwamba sharobalo records ilikuwa ya ali kiba? Yote hiyo kujaribu kuonyesha kiba amemtoa diamond hahahaha imebidi nicheke tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…