Harmonize hana haja ya kuwa na baunsa sasa...

Harmonize hana haja ya kuwa na baunsa sasa...

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
Jamaa amejazia kinoma utadhani umaga wa kwenye mieleka.. Hata sadala ataanza kumuogopa sasa. Anatisha mmakonde...

Nawasilisha

IMG_20210718_090426.jpg

Nb. Hebu tuangalie upande wa pili wa samaki. Tumuone mwalimu wake na role model wake maana ndie aliyemfundisha.

d9ad775c415fc01ebfdf5e22af06f9c7.png
 
Back
Top Bottom