Harmonize hana haja ya kuwa na baunsa sasa...

Harmonize hana haja ya kuwa na baunsa sasa...

Mwacheni n'chumali mbona Busta rymes Ni msanii na ni kipande
 
Hapana Arnold na Rambo umri umewatupa mkono both of 'em wanamiaka 70+ unategemea waendelee kuwa vilevile.

IMG_3258.jpg
 
Jamaa amejazia kinoma utadhani umaga wa kwenye mieleka.. Hata sadala ataanza kumuogopa sasa. Anatisha mmakonde...

Nawasilisha


Nb. Hebu tuangalie upande wa pili wa samaki. Tumuone mwalimu wake na role model wake maana ndie aliyemfundisha.

Hivi Hamo ndo alianguka na makalio uwanjani akijaribu kuiga kazi za watu??😂
 
Hivi usanii na uhuni vinaweza kutenganishwa na vikatenganishika?,hasa usanii wa kuimba
 
hivi vijamaa viwili huwa naviona vishamba sana, ila shule ni kitu cha muhimu sana hata kama pesa huna za kutosha.
 
Back
Top Bottom