Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
- #21
Ni umaga.!Sio umaga, ni Omega.
Mcheza mieleka uwe unauliza siku nyingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni umaga.!Sio umaga, ni Omega.
Hata kuuliza ameshindwa huyoNi umaga hivyo hivyo
Lakini kupiga chuma ni choice ya mtu binafsiNdo man wamakonde tunadharaulika sana!!
Hao umri umeshawatupa mkono angalia age yao; Sylvester Stallone Born: July 6, 1946 (age 75 years), Hell's Kitchen, New York, United States na Arnold Alois Schwarzenegger is an Austrian-American Born: July 30, 1947 (age 73 years), Thal, AustriaHarmonize anatumia dawa zakusisimua misuli ndo mana anaonekana amevimba sana hizi dawa zina madhara meng sana mwangalie Rambo au Swarchznegger miili imetepeta kama wamemwagiwa mafuta
Kwahiyo diamond ana bawasili.? Maana kaanza kubeba zamaniukibeba vitu vizito kwa muda mrefu moja ya madhara mhusika huanza kuota BAWASILI.
Pliz i need NO question🤐🤐😷
Mkuu Umenena wewe👊👋Kwahiyo diamond ana bawasili.?
Maana kaanza kubeba zamani
Utakua umechanganya na tangazo la blue band,Sio umaga, ni Omega.
Halafu lianze kulegeza sauti na limejazia hivyo nani atamuelewa?Hiyo body sio ya msanii tena ni ya mwanamasumbwi kabisa
Nyie ndo sababu tumeletewa tozo za kwenye miamalaJamaa amejazia kinoma utadhani umaga wa kwenye mieleka.. Hata sadala ataanza kumuogopa sasa
Anatisha mmakonde..
Nawasilisha View attachment 1857881
Kaka unakumbuka Anorld wakat anashinda Mr universe? Zilitoka lawama kuwa hakustahili mana alikua anatumia stereiodsHapana Arnold na Rambo umri umewatupa mkono both of 'em wanamiaka 70+ unategemea waendelee kuwa vilevile.
Na bongo vimeingia sana zile supplements au wanaita vumbi ni kama maziwa una mix mseto wako unabugia unaanza kuvimba,ila side efffects ni kubwa sana ikiwemo IMPOTENCE na heart attackHivi vidonge steroids na mambo ya protein supplements zitakuja kumfanya apate heart attack
Mashoga Na mieleka wapi Na wapi sheikh...wao wanafatilia Nirvana Na wanawake liveNi umaga hivyo hivyo
Supplements hazina Side effects...Steroids ndo Zina side effect.Na bongo vimeingia sana zile supplements au wanaita vumbi ni kama maziwa una mix mseto wako unabugia unaanza kuvimba,ila side efffects ni kubwa sana ikiwemo IMPOTENCE na heart attack