Harmonize: Hereni ni hobby

Hahaha
wanavaa kwa uchache haswa wakiwa wazee
Sana sana bangli na shanga nyingne
Hapa ni kutokana na maisha ya sasa kama kwenda shule so watoto hawawez kwenda na heren shule
Lakini ilitakiwa tuidumishe hii tamaduni maana ndo pekee hututangaza. Huku kuiga kwingi kutoka kwa wadhungu kutaleta matatizo huko mbele. Ni bora kuigana wenyeww
 
Lakini ilitakiwa tuidumishe hii tamaduni maana ndo pekee hututangaza. Huku kuiga kwingi kutoka kwa wadhungu kutaleta matatizo huko mbele. Ni bora kuigana wenyeww
Ila sikufichi hata kama amesafiri masai ukirudi nyumbani unatakiwa uende ful maasai kwa hyo hata kama mjin havai shanga,nguo unakuta kaziifadh wakati anarudi kwao anazivaa
 
Ina maana wanaume wa DAR wakisahau hereni wanageuza hadi gari kurudi kuvaa hereni...??!!! hahahahahaha!
 
Wanaume wa daresalama wanakimbia vitoto vya kujiita vipanya hahahaha kama mnavaa hereni kwa nini visiwatie vitasa..
 
Mbona masai wa kiume wanavaa sioni ubaya ni maisha yake binafsi acha majungu katafute kazi ya kufanya kabla ujapelekwa kambi kinguvu cheche wewe.
 
Ommy ni mwanaume wa Dar
Harmonize ni mwanaume wa Mtwara..
Teh Teh..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…