Harmonize: Hereni ni hobby

kama kuvaa hereni ndo kufika level za kimataifa olver mtukuzi usingemfaham
mrisho mpoto asingetambulika mpaka BBC na sehem zingne ulimwenguni
hobby ya hereni na kufika level za juu ni kingne

kipaji chako ndicho kitambulisho chako
huyo chid benzi alietoboa mpaka pua yuko south sasa hvi eh?
 
Nmezungumzia maendeleo kiujumla na si kwenye mziki pekee.. Ifike kipindi tujue kitu cha kupotezea muda kuchangia.. Sio mpaka issue za mtu kuvaa hereni zituharibie muda.. Wenzio ulaya wameendelea kwa vile wanathamini muda na huwa hawapotezi kwa mijadala isiyo na tija kwa taifa. Mfano hereni anazovaa hermonizer sisi zinatuhusu nini ? Na ndio maana nikasema utajiri huanzia kichwani kwanza na huendelea mpaka kipesa..[emoji57]
 
nimekutag kwenye huu uzi au kuna mtu kakuita hapa?
Wakat unafungua huu uzi nakuachia coment ndefu kuliko za wote hayo yote ukuyawaza?
 
nimekutag kwenye huu uzi au kuna mtu kakuita hapa?
Wakat unafungua huu uzi nakuachia coment ndefu kuliko za wote hayo yote ukuyawaza?
Sasa kama nisingezungumza hapa ungenielewa kama ulivyonielewa ?![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kazi yenyewe ya uyaya kulea watoto utaishia kukaa uswahilini mbagust huko ule miguu ya kuku mpaka uzeeke
 
Sura nguumu ya hip hop kabisa kabisa lakini nashangaa anabana pua....
 
Muonekano wa kisanii watoto wa dar wanasema...
 

apewe na shanga avae kiunoni zitamfaa
 
Mashoga wanaongezeka tu sijui tukimbilie wapi.. Ee Mwenyezi Mungu tusaidie
 
Mwanaume anae vaa hereni na kusuka nywele huyu ana pepo anaitaji maombi
 
Reactions: nao
Nguvu Kubwa Zielekezwe Kwa Kulea Vizuri Watoto Wa Kiume
Hapo Hasara Kwa Taifa
 
Anakwambia hawezi bila hereni
hahaha kweli wanaume wanazidi kupungua ulimwenguni, hivi inakuwaje kijana wa kiume akawa mtumiaji wa mapambo ya kike tena anajitukuza asipovaa hajihisi mtimilifu,Inalilah huu ni msiba
 
Shida ya huyu Bwana mdogo anataka kufanana na Diamond kila kitu. Ngoja tusubiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…