Harmonize: Hereni ni hobby

Harmonize: Hereni ni hobby

Wabongo mpaka kufikia level ya south Africa kimaendeleo bado sana.. Hauwezi ukawa unafatilia mambo ya kijinga kama hayo.. Yaani mtu kusema kuwa kuvaa heleni ni hobby yake ndio imekuwa topic ?!.. Kwakweli wabongo hatutaendelea mpaka tubadili mentality zetu.. [emoji33] [emoji33]
kama kuvaa hereni ndo kufika level za kimataifa olver mtukuzi usingemfaham
mrisho mpoto asingetambulika mpaka BBC na sehem zingne ulimwenguni
hobby ya hereni na kufika level za juu ni kingne

kipaji chako ndicho kitambulisho chako
huyo chid benzi alietoboa mpaka pua yuko south sasa hvi eh?
 

Attachments

  • 1459588624815.jpg
    1459588624815.jpg
    47.3 KB · Views: 74
kama kuvaa hereni ndo kufika level za kimataifa olver mtukuzi usingemfaham
mrisho mpoto asingetambulika mpaka BBC na sehem zingne ulimwenguni
hobby ya hereni na kufika level za juu ni kingne

kipaji chako ndicho kitambulisho chako
huyo chid benzi alietoboa mpaka pua yuko south sasa hvi eh?
Nmezungumzia maendeleo kiujumla na si kwenye mziki pekee.. Ifike kipindi tujue kitu cha kupotezea muda kuchangia.. Sio mpaka issue za mtu kuvaa hereni zituharibie muda.. Wenzio ulaya wameendelea kwa vile wanathamini muda na huwa hawapotezi kwa mijadala isiyo na tija kwa taifa. Mfano hereni anazovaa hermonizer sisi zinatuhusu nini ? Na ndio maana nikasema utajiri huanzia kichwani kwanza na huendelea mpaka kipesa..[emoji57]
 
Nmezungumzia maendeleo kiujumla na si kwenye mziki pekee.. Ifike kipindi tujue kitu cha kupotezea muda kuchangia.. Sio mpaka issue za mtu kuvaa hereni zituharibie muda.. Wenzio ulaya wameendelea kwa vile wanathamini muda na huwa hawapotezi kwa mijadala isiyo na tija kwa taifa. Mfano hereni anazovaa hermonizer sisi zinatuhusu nini ? Na ndio maana nikasema utajiri huanzia kichwani kwanza na huendelea mpaka kipesa..[emoji57]
nimekutag kwenye huu uzi au kuna mtu kakuita hapa?
Wakat unafungua huu uzi nakuachia coment ndefu kuliko za wote hayo yote ukuyawaza?
 
nimekutag kwenye huu uzi au kuna mtu kakuita hapa?
Wakat unafungua huu uzi nakuachia coment ndefu kuliko za wote hayo yote ukuyawaza?
Sasa kama nisingezungumza hapa ungenielewa kama ulivyonielewa ?![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kazi yenyewe ya uyaya kulea watoto utaishia kukaa uswahilini mbagust huko ule miguu ya kuku mpaka uzeeke
 
Sura nguumu ya hip hop kabisa kabisa lakini nashangaa anabana pua....
 
Muonekano wa kisanii watoto wa dar wanasema...
 
View attachment 334239

Tena zote mbili zimeninginia anakwambia asipovaa anajisikia vbaya
Ni list kubwa wasani wanavaa heren,tena mbili na kuninginia
Ila huyu kijana kanishangaza
Eti hobi

View attachment 334240

Akihojiwa EATV katika kipindi cha Friday Night Live (FNL) msanii huyo akapata sapoti ya Dj Ommy Crayz nae anadai kuna siku alisahau kuvaa hereni akageuza gari kurudi kuvaa.

apewe na shanga avae kiunoni zitamfaa
 
Mashoga wanaongezeka tu sijui tukimbilie wapi.. Ee Mwenyezi Mungu tusaidie
 
Mwanaume anae vaa hereni na kusuka nywele huyu ana pepo anaitaji maombi
 
  • Thanks
Reactions: nao
Nguvu Kubwa Zielekezwe Kwa Kulea Vizuri Watoto Wa Kiume
Hapo Hasara Kwa Taifa
 
Anakwambia hawezi bila hereni
hahaha kweli wanaume wanazidi kupungua ulimwenguni, hivi inakuwaje kijana wa kiume akawa mtumiaji wa mapambo ya kike tena anajitukuza asipovaa hajihisi mtimilifu,Inalilah huu ni msiba
 
Shida ya huyu Bwana mdogo anataka kufanana na Diamond kila kitu. Ngoja tusubiri
 
Back
Top Bottom