masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
- Thread starter
- #61
kama kuvaa hereni ndo kufika level za kimataifa olver mtukuzi usingemfahamWabongo mpaka kufikia level ya south Africa kimaendeleo bado sana.. Hauwezi ukawa unafatilia mambo ya kijinga kama hayo.. Yaani mtu kusema kuwa kuvaa heleni ni hobby yake ndio imekuwa topic ?!.. Kwakweli wabongo hatutaendelea mpaka tubadili mentality zetu.. [emoji33] [emoji33]
mrisho mpoto asingetambulika mpaka BBC na sehem zingne ulimwenguni
hobby ya hereni na kufika level za juu ni kingne
kipaji chako ndicho kitambulisho chako
huyo chid benzi alietoboa mpaka pua yuko south sasa hvi eh?