Harmonize it’s either uwe MSAFI au MCHAFU

Wabongo vilaza kweli kweli .. Drake ametoka na hapakuwa drama tuache harmo kutoka wcb ..nyiye mnataka jama aendeleye kuburuzwa sa salam na babutale ...mtoto akikuwa lazma ahame kwake
Acha uongo Drake pamoja na kuwa na label yake ya OVO bado yupo chini ya YCMB na Kanye west pamoja na kuwa na label yake ya Good life na brand yake yeezy yenye thamani ya zaidi ya USD 1bilion bado yupo chini ya Roc Nation ya Jay Z.
 
Wabongo vilaza kweli kweli .. Drake ametoka na hapakuwa drama tuache harmo kutoka wcb ..nyiye mnataka jama aendeleye kuburuzwa sa salam na babutale ...mtoto akikuwa lazma ahame kwake
Drake hadi leo yupo chini ya young money cash monry label.
 
Kwani hiyo block ya wasafi si kuna baadhi ya wasanii wapowapo tu wala hawana lolote? Mfano yule queen si dam moja kabisa na mond? Na umesema hiyo block ina wazee wa fitna kuliko block ya uchafuni kwa sasa? mbona hatuoni akimfunika hata amber ruti ? Me nadhani pamoja na fitna za hapa na pale, kipaji nacho kina nafasi yake kwa kiasi kikubwa tu. Japo akijitoa mambo yanaeza yasimwendee poa kama matarajio ya wengi yalivyo. Ajaribu tu then tutajua mbele kwa mbele tunachotaka sisi mashabiki ni mziki mzuri basi.
 
ALIKUWA HAPO HATA KABLA YA KUMFAHAMU, ANAZIJUA HUSTLE ZAKE,ANAZIJUA NJIA ZAKE, TUACHE KUWEKA UKOMO WA MAFANIKIO KUWA UKITOKA SEHEMU FULANI HUWEZI KUTOBOA TENA, TUSIKARIRI NJIA ZA MAFANIKIO KTK MAISHA YETU, NOTION YA KUSEMA BILA WATU FULANI SIFIKI PALE, HII NI NOTION YA KIPUMBAVU, UBAYA MZIKI WA BONGO UNAFIKI NI MWINGI KUANZIA MASHABIKI WENYEWE, WENYE DHAMANA YA HUU MZIKI, NA UZWAZWA WA MSANII MWENYEWE, UKIJITOA SEHEMU FULANI KUNA KUNDI LA WATU WANATAKA KUKUSHUSHA, UKIWA SEHEMU FULANI NAPO KUNA KUNDI LA WATU WANAKUAMINISHA KUWA HAPO NDIPO MAHALA SAHIHI HADI PALE MASIHI ATAKAPOSHUKA, HAYA NI MAWAZO UHARO YALIYO KATIKA TASNIA YETU, UTHUBUTU NI MDOGO, UOGA, KUANGALIA WENGINE WATAKUSEMAJE UKIWA VILE, KUAMINISHWA MAISHA YAKO YA MZIKI HAYAWEZI KUFIKA KOKOTE BILA KAMBI FULANI, NDIPO UNAKUJA KUAMINI MSEMO HUU KUWA "YOU CAN'T BE FREE IN AFRICA UNTIL YOU BECOME A PUPPET OR HYPOCRITE". kwa mtindo huu umataifa tutasikiaga kwenye bomba tu, wakati bongo furaha iko kupeleka wasanii 3 kama si wanne ktk tuzo za kimataifa wenzetu Nigeria wako kama ,30 kama si 50 kimataifa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Alafu tunajisifiaaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Wabongo vilaza kweli kweli .. Drake ametoka na hapakuwa drama tuache harmo kutoka wcb ..nyiye mnataka jama aendeleye kuburuzwa sa salam na babutale ...mtoto akikuwa lazma ahame kwake

Kwanza nianze kwa kushukuru kwa kutuita wabongo vilaza maana umejumlisha na wazazi waliokuzaa.

Kingine ukiwa unalinganisha vitu Jaribu kufanya mlinganyo kwa vitu vinavyofanana ama sivyo utaonekana kilaza zaidi ya unaowaita vilaza.


Kwa mfano, hapa unataka kulinganisha muziki wa Bongo na wa Us ???

Una akili timamu kweli !!.

Muziki wa bongo bado sana kufika huko, hapa kwetu industry ipo chini ya vichwa kadhaa tofauti na hapo imekula kwako .
 
Kitu ambacho Nafikiri ni kwamba Harmonize amekuaa kimuziki na kimapato lkn WCB wamegoma ku update Mkataba wake ndomana anaona kama anafanya kazi kubwa halafu matokeo madogo... (Nafikiri hivyo)
 
Mavoko mikataba ya kijinga ndo imemuua
 
Mikataba waliyoingia nayo inawabana ndo maana wanajitoa

Kitu ambacho Nafikiri ni kwamba Harmonize amekuaa kimuziki na kimapato lkn WCB wamegoma ku update Mkataba wake ndomana anaona kama anafanya kazi kubwa halafu matokeo madogo... (Nafikiri hivyo)
 

Mkuu unachosema hapa kimeandikwa kwenye paragraph ya mwisho
 
Mashabiki wapo hata wa wasafi.. kwani umeona kila shabiki wa wao wanawashadadia wote?
Nchi ina wananchi wengi ni mtu na juhudi zake kujiongeza kwa njia zinazofanyika ktk kazi yake..

Hehe unachukulia poa fitna za muziki wa Bongo
 
Ndio anachotaka kufanya harmonize icho
Acha uongo Drake pamoja na kuwa na label yake ya OVO bado yupo chini ya YCMB na Kanye west pamoja na kuwa na label yake ya Good life na brand yake yeezy yenye thamani ya zaidi ya USD 1bilion bado yupo chini ya Roc Nation ya Jay Z.
 
Hivi nyie kwa akili zenu mnaamini kabisa harmonize anaweza kuondoka WCB?!??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…